John waryoba
Member
- Oct 1, 2012
- 26
- 1
Wana jf kuna dogo anauliza kwamba yeye kapata phy-c,bios-c,chem-c,math-d,na english-f, je anaweza kupata diploma?
Wana jf kuna dogo anauliza kwamba yeye kapata phy-c,bios-c,chem-c,math-d,na english-f, je anaweza kupata diploma?
2lieni ijumaa hii kila kitu nje,source mdau mwema wizarani.
Nafkir ni matatizo ya kiengereza kidogo. Inaposemwa kwamba mtu kawa certified maana yake kapata certificate, kwaiyo certified copy ni copy tu ya cheti.
Hata mimi sikuona sehem iliyoandikwa lzm viwe na muhur, lkn aloniletea form alinambia nipeleke mahakaman kwa muhur
kwa hyo kama vyeti havijagongwa muhuri huwez chaguliwa?