Wiz Khalifa athibitisha kuumwa corona

Wiz Khalifa athibitisha kuumwa corona

Cannabis

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2014
Posts
13,799
Reaction score
39,387
IMG_20210715_123345.jpg


Mwanamuziki wa miondoko ya hip-hop nchini marekani maarufu kwa jina la Wiz Khalifa, amethibitisha kupitia ukurusa wake wa twitter kuwa amepata maambukizi ya virusi vya corona. Amewatoa wasiwasi mashabiki wake kwa kusema hana dalili zozote, ila anawaomba wakae mbali naye kwa muda kidogo. Mwanamziki huyo alikutana na msanii Diamond Platnumz wiki mbili zilizopita hatua iliyoashiria uwezekano wa kutoa wimbo pamoja.
 
Back
Top Bottom