Ukweli ni kwamba housemaid wenu anampenda huyo jirani yako. Ila ww ameshindwa kukukataa kwa vile ni mtoto wa boss wake,maana mkikataliwa mnaanzishaga visa ndani ya nyumba.
Sasa si ujieleze kwa huyo binti ili akikukubali uwe na wivu halali manake huo wivu ulionao ni wivu usio halali labda jirani ndo anapiga mzigo hapo harafu we unaweka wivu wako