Wivu ni kero sana

Wivu ni kero sana

Magoya2000

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2017
Posts
641
Reaction score
1,266
Habari wana! Nimepitia mahusiano mengi lkn kitu ambacho kinakuwa kero kwangu ni hili suala la wivu. Mwanamke wangu ambaye nilifanya commitment naye alikuwa na wivu hatari kiasi hata ndugu akiniona nimesimama au naongea na ndugu anahisi namtibua. Kuna kipindi aliwahi kumtukana Boss wangu wa kike na kumkataza kuwasiliana nami. Boss wangu akaniambia huyo mwanamke hakuamini hivyo angalia sana atakuwa ni cheater mkubwa. Ukweli mwishoni nikagundua cheater. Sasa hivi nipo na mwingine nae wivu kama wote. Hataki niwasiliane na jinsia zozote za kike. Nimemchenjia kila mtu aishi atakavyo sio kubanana. Wivu ni upendo au mwenye wivu nae cheater tu? Tujadili!
 
Wivu ni ishara ya upendo lakini kuna wengne atatumia wivu kama kigezo tu eti anakupenda sana kumbe anaficha mabaya yake. Unakua na mtu ana wivu kupitiliza lkn ajabu lake ana michepuko kibao pemben
 
Tumieni njia sahihi za kupata wake/wapenzi;sio kujiokotea tu.
 
Back
Top Bottom