Sazira kwetu
Senior Member
- Aug 23, 2015
- 155
- 104
Habari za wakati huu wana jukwaa?
Kama mada ilivyohapo juu inajieleza,napenda tupeane uzoefu juu ya hili swala la wivu ni kitu gani.Maana unakuta mtu amemfuma mke wake au mme wake na mwanaume au mwanamke mwingine basi atachukia na hata kuamua kuua au kujeruhi mgoni wake, swali la kujiuliza Je ni kipi kimepotea katika maisha yako ambachohutakipata ktk maisha yako yote mpaka uamue kuua au kujeruhi?Lakini pia wengine huamua kutooa au kutoolewa tena,swali kipi hasa ambacho kinakufanya uwe na chuki ya milele?
Wengine husema ile raha ya tendo wakiikumbuka ndio huwafanya wapate maumivu au wivu lakini ukweli sio huo kwa maana hata wachumba ambao hufuata taratibu za kidini za bila kugusana kimwili mpaka hapo watakapo ingia ktk ndoa nao hupata maumivu yaleyale iwapo tu mmoja wao atakaposaliti uchumba wao,swali Je mapenzi huadhiri nini zaidi ktk ubongo wa mwanadam mpaka awe na wivu?
Sina majibu ya maswali hayo na wale wenye majibu yawe ya kisaikolojia au kidini atusaidie huenda inaweza ikasaidia kuchukua tahadhari kabla.
Kama mada ilivyohapo juu inajieleza,napenda tupeane uzoefu juu ya hili swala la wivu ni kitu gani.Maana unakuta mtu amemfuma mke wake au mme wake na mwanaume au mwanamke mwingine basi atachukia na hata kuamua kuua au kujeruhi mgoni wake, swali la kujiuliza Je ni kipi kimepotea katika maisha yako ambachohutakipata ktk maisha yako yote mpaka uamue kuua au kujeruhi?Lakini pia wengine huamua kutooa au kutoolewa tena,swali kipi hasa ambacho kinakufanya uwe na chuki ya milele?
Wengine husema ile raha ya tendo wakiikumbuka ndio huwafanya wapate maumivu au wivu lakini ukweli sio huo kwa maana hata wachumba ambao hufuata taratibu za kidini za bila kugusana kimwili mpaka hapo watakapo ingia ktk ndoa nao hupata maumivu yaleyale iwapo tu mmoja wao atakaposaliti uchumba wao,swali Je mapenzi huadhiri nini zaidi ktk ubongo wa mwanadam mpaka awe na wivu?
Sina majibu ya maswali hayo na wale wenye majibu yawe ya kisaikolojia au kidini atusaidie huenda inaweza ikasaidia kuchukua tahadhari kabla.