Wito: Yaitishwe maandamano nchi nzima kupinga mgao wa kimya kimya wa umeme

Seif al Islam

JF-Expert Member
Nov 14, 2011
2,156
638
mgao huu unaondelea kimyakimya unaathirisana shughuli na maisdha ya kila siku ya watanzania.viwanda vinafungwa.mama ntilie wanshindw akupika saluni nazo zinafungwa na kila aina ya shughuli inayotumia au kuitegema umeme inaathiriwa kwa viwango vya kutisha.hali hii si salama kwa maisha na usalama wa nchi yetu.ni pendekezo langui kuwa paitishwe maandamno makubwa ya kuupinga huu mgao na kuwataka walioshindwa kuudhibiti waondoke kwenye ofisi za umma haraka.
 
Mkuu[MENTION]Msopakyindi[/MENTION]

Nadharia ya kujaa mabwawa ya maji na upatikanaji wa umeme umeipata wapi?

Unaongea kama raia au msemaji wa wizara ya nishati na madini? ilitukuulize maswali stahiki.
 
MkuuMsopakyindi

Nadharia ya kujaa mabwawa ya maji na upatikanaji wa umeme umeipata wapi?

Unaongea kama raia au msemaji wa wizara ya nishati na madini? ilitukuulize maswali stahiki.
Usipolielewa tatizo wala hutajua uanzie wapi kulitatua.
Na ndio nauliza ukimaliza kuandamana namabwawa yata jaa maji?
Hebu na wewe tupe mwanga!
 
Usipolielewa tatizo wala hutakua uanzie wapi klitatua.
Na ndio nauliza ukimaliza kuandamana namabwawa yata jaa maji?
Hebu na wewe tupe mwanga!



si lazima kuchangia km hujaelewa. Ujuaji mwingi, mbele giza mjomba. Unajifanya badra masoud?
 
unaelewa maana ya mgao? mimi sioni mgao. iwapo umeme utakatwa, nimekua nikiona matangazo kwenye TV. kinachoendelea ni matengenezo ya hapa na pale
 
mgao huu unaondelea kimyakimya unaathirisana shughuli na maisdha ya kila siku ya watanzania.viwanda vinafungwa.mama ntilie wanshindw akupika saluni nazo zinafungwa na kila aina ya shughuli inayotumia au kuitegema umeme inaathiriwa kwa viwango vya kutisha.hali hii si salama kwa maisha na usalama wa nchi yetu.ni pendekezo langui kuwa paitishwe maandamno makubwa ya kuupinga huu mgao na kuwataka walioshindwa kuudhibiti waondoke kwenye ofisi za umma haraka.


mkuu akipatikana initiator wazo lako lawezekana. Bt tatizo ni kwamba tulio wengi ni kuni na si viberiti.
Vikipatikana viberiti kadhaa, nina uhakika tungekuwa na Tanzania mpya
 
Mkuu Masopakyindi, macho yako yawe yanatazama na busara pia. Sio ugali tu.

Akili za kula tu na kujaza matumbo ndio zimetufikisha hapa.
 
Mkuu Masopakyindi, macho yako yawe yanatazama na busara pia. Sio ugali tu.

Akili za kula tu na kujaza matumbo ndio zimetufikisha hapa.
Mkuu JF ni lazima iwe chachu ya watu wanaofikiri na nilivyojibu nilitegemea majibu ambayo yanaendana na hali halisi ya matatizo ya umeme nchi hata kama hatutaki kusikia.

Mtu akiongelea kuwa mgawo kwa vile upo suluhisho lake ni kuandamana nafikiri hana hata uwezo wa ku appreciate uzito wa tatizo.
Mimi si mtu wa serikali lakini ni msomi.
Na najua kuwa ni Mwalimu peke yake aliyewekeza katika uzalishaji na usambazaji umeme, na hili limefanyika zaidi ya miaka 30 iliyopita.
Tatizo kubwa la umeme nchi ni kukua kwa kasi kwa uchumi katika miaka 20 iliyopita hivyo kuongezeka matumizi makubwa ya umeme.Tatizo hili likuwa bays zaidi kutokana na mabadiliko ya tabia nchi na ukame ambao sasa hivi Tanzania inashuhudia.

Tatizo la pili ni pamoja na miundombinu hafifu, imechakaa!
Ktika muda wote huo kuna waliotumia nishati hii bure kabisa bila malio, Zanzibar ikiwemo.
TANESCO ni kama daladala la umri mkubwa na kila anayepanda hataki kulipa nauli na anataka liende wa spidi ya chaser na hata asiyelipia anataka siti ya kulala!

Nilitegemea Thinkers wange argue on those lines!

Sasa ku advocate maandamano inaweza kuwa sawa lakini mtu utaandamana mpaka soli na visigino vichubuke ni kazi bure.
 
majibu ya wanasiasa yako hivi:
''hakuna mgao wa umeme ila tunajifunza kutumia vyema rasilimali ndogo ya gesi tuliyonayo.......''
 
Sasa tontorilo za nini?
Au ni mpambe wa kukodiwa!
Sasa soma hapo juu uelimike!

Naona bango langu na post zangu zimenyofolewa kukuponya, anyway umepata msaada but next time usiingize mzaha na

utani kwenye mambo yanayoiathili jamii. wewe kama unafaidika na mfumo watanzania waliowengi wanateseka.

By on this thread.
 
Mmeacha kuandamana ya Gesi ya Mtwara sasa mnataka kuandamana ya umeme
Andamaneni wenyewe sisi huku vijijini tunatumia solar maana mmeikatalia Gesi yenu
Maandamano, MAANDAMANO, MAANDAMANO, MAANDAMANO KILA SIKU hakuna jingine?
 
Naona bango langu na post zangu zimenyofolewa kukuponya, anyway umepata msaada but next time usiingize mzaha na

utani kwenye mambo yanayoiathili jamii. wewe kama unafaidika na mfumo watanzania waliowengi wanateseka.

By on this thread.
Nchi inayoitwa Tanzania ni yetu sote, na hakuna anayeweza kujiweka kuwa na uchungu zaidi ya mwingine.

Kuichana chana kama ambavyo wengine wangependa si suluhisho la matatizo.
Wengine wanapenda isitawalike, lakini hawajui kuwa watakaoumia zaidi katika hali hiyo ni wao wenyewe.

Zaidi ya hapo kujadiliana kwa staha, akili na heshima ni msingi mkubwa wa kutatua matatizo yaliyopo.
Kujigamba kwa matusi kwa mtu yeyote aliyestaarabika si dalili njema wa mtu anayetarajia mema.
 
mgao huu unaondelea kimyakimya unaathirisana shughuli na maisdha ya kila siku ya watanzania.viwanda vinafungwa.mama ntilie wanshindw akupika saluni nazo zinafungwa na kila aina ya shughuli inayotumia au kuitegema umeme inaathiriwa kwa viwango vya kutisha.hali hii si salama kwa maisha na usalama wa nchi yetu.ni pendekezo langui kuwa paitishwe maandamno makubwa ya kuupinga huu mgao na kuwataka walioshindwa kuudhibiti waondoke kwenye ofisi za umma haraka.
Andamana kuchangisha hela za kuboresha Miundombinu ya Umeme Kwani Umeme huo hausafiri Kwa ungo.
 
Back
Top Bottom