Wito: Posho za nyumba, umeme, maji na simu kwa mawaziri, makatibu wakuu, wakuu wa mikoa zifutwe

Ndiyo maana wana viburi vya kila siku kutuimbia wimbo kuwa tujiajiri, wakati wenyewe wenye uwezo wa kupata hata mtaji wa m50 hawasubutu kujiajiri!
Usiahau kumtaja mwenye hati miliki ya hilo ulosema maana ni nukuu.
 
Nimegundua wewe unafurahia wazo la waziri mkuu kwa wengine ila wewe lisikuguse au sivyo.
 
kwa mfano, mikoa 26,kila mkoa wilaya 4= wakurugenzi 104
wale wa manispaa na majiji =26
Jumla 130
Posho zao 975,000x130 =126,750,000.

Aaaah kumbe bado ni vijisent tu sawa na zile wanazopokea kila siku wale jamaa wa ile kashfa ya umeme
Acha wapewe tu,lakini huku chini waongeze japo hiyo mishahara.
 
Sijawahi ona mawazo pumbavu kama haya tangu niingie jamii forum.
 
Hii kitu nimewahi kuhoji mara kibao, iweje mtu unalipwa mshahara mkubwa ila wanapata huduma nyingine bure? Halafu unakuta anayelipwa kidogo ndio anajigharamia vitu vyote
Watumishi wa uma wanatakiwa kuwa na bunge lao,sio hilo la kulala na la gizani.
 
SIJU KAMA AKI YAKO INA AKIL
 
Oneni aibu basi wanajeshi.. Polisi.. Magereza posho wanyimwe ili daily watukabe na kutupiga roba... Naunga mkono hoja Kwa posho ya President..PM..Mawaziri.. Makatibu wakuu... Wabunge na mashirika ya umma...
 
Baba yako yumo kati ya wanaofurahia mateso ya wengine walio wengi,huna haja ya kulaaniwa bali ipo siku kivuri chako kitakukimbia.
 
Jamani siasa tamu kumbe vitu vingi tu wanalipiwa next time nachukua kadi kwenye chama cha hashimu rungwe.
 
Naunga mkono hoja, kusiwe na discrimination, kama kwingine zimefutwa basi kote zifutwe tu maana hamna namna!
Halafu hata ukienda dukan kununua unga, mangi yeye hajui nani anapokea 710,000 au 5,500,000 wote munalipa sawasawa
 
Hawawezi kukubaliano na hilo mkuu, kisu kwenye mfupa nani anataka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…