Kokwa kavu
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 220
- 41
Habari wakuu,
Napenda kutoa ushauri kwa wanafunzi wote wa vyuo walionyimwa haki zao na system mbovu ya CCM, wahamasishe watu huko maeneo walipo wapigie kura mabadiliko ya kweli yatakayoletwa na Mheshimiwa Lowasa kupitia UKAWA. Maana hakuna njia nyingine kuendelea kuwaacha hawa jamaa madarakani after Oct 25 2015.
Mfuasi mtendaji wa CHADEMA/UKAWA
Napenda kutoa ushauri kwa wanafunzi wote wa vyuo walionyimwa haki zao na system mbovu ya CCM, wahamasishe watu huko maeneo walipo wapigie kura mabadiliko ya kweli yatakayoletwa na Mheshimiwa Lowasa kupitia UKAWA. Maana hakuna njia nyingine kuendelea kuwaacha hawa jamaa madarakani after Oct 25 2015.
Mfuasi mtendaji wa CHADEMA/UKAWA