Wise-up!

nyie 'mafeminist' wawili mbona mnajadili tu mfumo dume bana...hapo si kuna mambo kadhaa TM kaorodhesha, vipi hayo yapo sawa? ndo fikira chanya hizo?
 
kuridhika hakunatofauti na kukata tamaa!..hilo ndo tatzo kubwa lnalo2fanya waafrika 2bak nyuma,tunajcompare na walio chini ye2!kunafaida gn ya kua wa kwanza kati ya darasa la mbumbumbu?..we will never grow with that attide!
 
Kinacho sikitisha zaidi ni kuona wanawake ndio tunaoendeleza

hasa huko kwenye kitchen parties ndio balaa, unafundishwa kuwa mnyenyekevu na mvumilivu assumption ikiwa mambo yapo sawa na yanafanana kwa couples zote. Sijawahi ona mwanamke anafundishwa alternatives za kudeal na abusive husband... ikitokea kawa hivyo. Majukumu ya kuhuisha ndoa 'for bad for worse' wamejitwika wanawake wenyewe... na wanaume wakajua loop hole hiyo na kuitumia barabara.
 
uhalalishe na kutukuza matatizo eti kisa wengine wanayatamani?..hizo ni dalili za kutokujiamini na kukatatamaa!
 
kuridhika hakunatofauti na kukata tamaa!..hilo ndo tatzo kubwa lnalo2fanya waafrika 2bak nyuma,tunajcompare na walio chini ye2!kunafaida gn ya kua wa kwanza kati ya darasa la mbumbumbu?..we will never grow with that attide!

ndo utaona mtu akifanikiwa zaidi utasikia 'fisadi yule' (mfano mzuri Mwammy juzi kati hapa tulirushiwa jumba lake la maana) watu hawataki hata kujiuliza mara mbili mbili mwenzangu kafikaje pale? na mimi kwa nini nisifike?

tunabaki tu kujipa moyo na matumaini eti 'so and so' hana hata kibarua heri mimi, sos and so bado anakaa kwa wazazi heri mimi nimepanga, so and so hivi bora mimi.....tutabaki hivo hivo kwa woga wa 'kukufuru'
 
hasa huko kwenye kitchen parties ndio balaa, unafundishwa kuwa mnyenyekevu na mvumilivu assumption ikiwa mambo yapo sawa na yanafanana kwa couples zote. Sijawahi ona mwanamke anafundishwa alternatives za kudeal na abusive husband... ikitokea kawa hivyo. Majukumu ya kuhuisha ndoa 'for bad for worse' wamejitwika wanawake wenyewe... na wanaume wakajua loop hole hiyo na kuitumia barabara.

Freema

Ukisema kwenye kitchen party labda hawana elimu wala hawana mtazamo mpana juu ya haki za wanawake, na hivyo matatizo haya na yatokanayo yangelikwisha kwenye generation hii yetu, ili kizazi chetu kitakuwa na wanawake wenye kujielewa, lakini hayaonekani hivyo kwa sababu hapa JF bado mawazo kama ya hao wa kitchen party yapo licha ya elimu na exposure tuliyonayo!
 
ndo utaona mtu akifanikiwa zaidi utasikia 'fisadi yule' (mfano mzuri Mwammy juzi kati hapa tulirushiwa jumba lake la maana) watu hawataki hata kujiuliza mara mbili mbili mwenzangu kafikaje pale? na mimi kwa nini nisifike?

tunabaki tu kujipa moyo na matumaini eti 'so and so' hana hata kibarua heri mimi, sos and so bado anakaa kwa wazazi heri mimi nimepanga, so and so hivi bora mimi.....tutabaki hivo hivo kwa woga wa 'kukufuru'

Mimi nasema kila siku, waumini ni wakubwa wa kumsingizi Mungu

Wapi Mungu kasema watu wasijitafutie maendeleo? Tena kila ukitafuta na kupata zaidi utakuwa na msaada zaidi kwa wasionacho kwa sababu utakuwa na uwezo wa kutoa sadaka zaidi.

Hii ya kuwa uridhike na ulipo si katika sera za serikali ya Mungu hata kidogo
 
hasa huko kwenye kitchen parties ndio balaa, unafundishwa kuwa mnyenyekevu na mvumilivu assumption ikiwa mambo yapo sawa na yanafanana kwa couples zote. Sijawahi ona mwanamke anafundishwa alternatives za kudeal na abusive husband... ikitokea kawa hivyo. Majukumu ya kuhuisha ndoa 'for bad for worse' wamejitwika wanawake wenyewe... na wanaume wakajua loop hole hiyo na kuitumia barabara.

Yaani hizi kitchen party ningekuwa na uwezo ningezipiga marufuku. zinajaza upumbavu mwingi sana ndani ya vichwa wanawake. Basically kwenye kitchen party wanawake wanaandaliwa kuwa watumwa wa waume zao period.
 
does being positive entail kuridhika tu na chochote ulichonacho na usitake ku achieve zaidi kwa kujifananisha tu na wengine ambao hawajafikia hata kidogo ulichonacho au what does being positive mean in this context?

I was about to give thanks to the advice but umenibadilisha mawazo. For positive achievements we have to look on things above us.
 
  • Thanks
Reactions: bht
Ingekua wishes ni toys wanauza dukani.... One of my wish would have been to know Gaijin... So very rigidly mysterious...

Sometimes I hate her, but now nimemuelewa who she is. She is great thinker. She thinks very far and very serious.
 
  • Thanks
Reactions: bht
I was about to give thanks to the advice but umenibadilisha mawazo. For positive achievements we have to look on things above us.

ni kweli Remmy, unfortunately tumekuwa wepesi saaana kuridhika, wavivu hata kufikiri japo kidogo, kuchanganua mambo kiufasaha na hivyo kuishia tu kuwa madodoki au bendera
 
Yaani hizi kitchen party ningekuwa na uwezo ningezipiga marufuku. zinajaza upumbavu mwingi sana ndani ya vichwa wanawake. Basically kwenye kitchen party wanawake wanaandaliwa kuwa watumwa wa waume zao period.

Inabidi upeleke petition kwa Nchimbi, umwambie akimaliza vazi la taifa, ashughulike na suala la Vitchen party mara moja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom