Wireless MAXg PC Card ni muhimu kiasi gani?

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Nimeletewa zawadi na mtu anayeamini naweza kuwa na interests nayo.

Zipo zaidi ya 10. Nafikiria kuziuza na pesa kununulia kitu kingine kitakachonifaa na ambacho kitakuwa mbadala wa zawadi hii ambayo kiukweli sina matumizi nayo.

Nauliza, hizi wireless adapter ni wapi zinaweza kuwa zinahitajika zaidi? Mimi sizifahamu sana. Wajuzi mnisaidie hapa.

Na nikitaka kuuza naziuzaje?

IMG_20190223_112558.jpg
 

Attachments

  • IMG_20190223_112553.jpg
    IMG_20190223_112553.jpg
    168.3 KB · Views: 19
  • IMG_20190223_112530.jpg
    IMG_20190223_112530.jpg
    171.9 KB · Views: 20
hizo ni wireless card inaipa uwezo pc isiyokuwa na wi -fi uwezo wa kuwa nayo...
kutuma na kupokea network,,hiyo ndio kazi yake..

  • 412QCRDWCSL.jpg

 
hizo ni wireless card inaipa uwezo pc isiyokuwa na wi -fi uwezo wa kuwa nayo...
kutuma na kupokea network,,hiyo ndio kazi yake..

  • 412QCRDWCSL.jpg

Sasa mimi hizi sitokuwa na kazi nazo kwa kweli. Hivi mainjinia hawajui kuchagua zawadi au wanafanya kusudi?
 
Sasa mimi hizi sitokuwa na kazi nazo kwa kweli. Hivi mainjinia hawajui kuchagua zawadi au wanafanya kusudi?
nimecheka sana hiyo zawadi :D,,hiyo itakuwa ni makusudi,,
mwambie unaishi koromjie unazichemsha kwa dakika ngapi ili ziive:D
 
Mkuu kwanza ufahamu pc card ni port kama zilivyo port nyengine za usb,Hdmi etc hicho ni kifaa kinachochomekwa kwenye port fulani maalumu. Mara nyingi inakuwa kwenye laptop za kizamani, laptop mpya si rahisi.

Nimesoma online pc card ilikuwa inatumika mwaka 2004 kushuka chini ilikuwa kuwa repaced na express card.

Hicho kifaa kilikuwa na uwezo kushinda wifi 802.11g ya kipindi hicho na speed hadi 120mbps ya wifi. Kwa standard ya sasa kipo outdated sana.

Kwa kukiuza watafute wanauza laptop za kizamani machinga complex ama kkoo, uviuze vyote kwa pamoja, zipo laptop kibao zisizo na wifi, sema usiwe na expectation kubwa.
 
Mkuu kwanza ufahamu pc card ni port kama zilivyo port nyengine za usb,Hdmi etc hicho ni kifaa kinachochomekwa kwenye port fulani maalumu. Mara nyingi inakuwa kwenye laptop za kizamani, laptop mpya si rahisi.

Nimesoma online pc card ilikuwa inatumika mwaka 2004 kushuka chini ilikuwa kuwa repaced na express card.

Hicho kifaa kilikuwa na uwezo kushinda wifi 802.11g ya kipindi hicho na speed hadi 120mbps ya wifi. Kwa standard ya sasa kipo outdated sana.

Kwa kukiuza watafute wanauza laptop za kizamani machinga complex ama kkoo, uviuze vyote kwa pamoja, zipo laptop kibao zisizo na wifi, sema usiwe na expectation kubwa.

Asante kwa ufafanuzi mzuri. Basi hao watakaokihitaji wakiona hapa wanicheck. Sina muda wa kwenda huko Machinga Complex.
 
Kwanini usimrudishie mwenyew?

Sent from my SM-G920P using Tapatalk
 
Back
Top Bottom