Vuguvugu la maandamano ya kupinga kuendelea kwa bunge la katiba sasa linashika kasi kwenye jiji la Sugu, na habari za kuaminika zinasema mji wa Tunduma pia maandalizi ya mandamano na migomo imekamilika.
we utakuwa unatoka msoga Mbeya tumejitambua hatuna wtu wa sampuli yakombeya hatuna upuuzi huwo. kilamtu yuko bize. kutafuta liziki ya watoto
Nasubiria kwa hamu kubwa.
utafiti unaonyesha kwamba sita ndiye mtu anayechukiwa zaidi kwenye eneo la maziwa makuu .Vuguvugu la maandamano ya kupinga kuendelea kwa bunge la katiba sasa linashika kasi kwenye jiji la Sugu, na habari za kuaminika zinasema mji wa Tunduma pia maandalizi ya mandamano na migomo imekamilika.
nimekuhurumia sana .mbeya hatuna upuuzi huwo. kilamtu yuko bize. kutafuta liziki ya watoto
Ni watu wachache sana Mbeya we kujikpondesha kondesha kwa watawala na mmojawapo kati ya hao ni wewe.mbeya hatuna upuuzi huwo. kilamtu yuko bize. kutafuta liziki ya watoto
Upuuzi ni upi?kupigania haki kwa ajili ya watoto wetu na vizazi vijavyo si upuuzi,mpuuzi ni wewe unaejua ukweli ukajifanya huuoni kisa ni mnufaikaji au unatafuta kunufaika na mfumo wa kinyonyaji na kandamizi.VIVA CDM,VIVA WATANZANIA.mbeya hatuna upuuzi huwo. kilamtu yuko bize. kutafuta liziki ya watoto
Hah hah hah Imbombo ngafu!!!
Mnasubiri kwenye android 4.2.3 kitkat.....samsung s4 safiiiiiii
V habari za kuaminika zinasema mji wa Tunduma pia maandalizi ya mandamano na migomo imekamilika.