mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,161
- 801
kwan ww hyo service pack 3 ni mpaka hela
mbona zipo nyingi tu free online..mfano hizi link unaweza pata sp3 free :mkuu jana nilinunua laptop zilitoka canada, aina ya ergo, akaniwekea service pa2 aliniboa sana, hata haikuweka sound device, na muonekano utadhani komputa yangu chuma chakavu. nimetupia kwenye kibegi sijaitoa hadi leo. service p3 nitapata wapi, wenye nazo wanabana sana, yaani watanzania bana utadhani wametengeza wao
mbona zipo nyingi tu free online..mfano hizi link unaweza pata sp3 free :mkuu jana nilinunua laptop zilitoka canada, aina ya ergo, akaniwekea service pa2 aliniboa sana, hata haikuweka sound device, na muonekano utadhani komputa yangu chuma chakavu. nimetupia kwenye kibegi sijaitoa hadi leo. service p3 nitapata wapi, wenye nazo wanabana sana, yaani watanzania bana utadhani wametengeza wao
kwa hiyo bado unaweza kutumia XP as long as ni Service Pack 3, au?... yani sa hivi unayoweza kutumia at least ni SP3 so ukiona msg kwamba the s/w is invalid usishangae hamia kwingine.
hahaha kaka watz ni watu shortcut.watastop kutoa support na sio kufunga os hawana ubavu huo.
-itakua microsoft wakiulizwa maswali kuhusu window xp hawajibu (watanzania maswali ya xp hawaulizi web ya microsoft)
-hawatatoa updates (wabongo wana update ant virus tu)
-software za xp zitastopishwa kutengenezwa (watanzania hadi leo wanacheza game za 98 )
-watatoa elimu watu wahamie vista na windows 7 na 8 (elimu haitawafkia watz na ikiwafkia hawataiskiliza)
-computer mpya hazitasuport xp (wabongo wanatumia used hawanunui vipya)
-watablock all ways (torrent na crack zipo za kumwaga)
Sidhan kama ita affect bongo
mbona zipo nyingi tu free online..mfano hizi link unaweza pata sp3 free :
Download Windows XP Service Pack 3 Build 5512 FINAL
Download: Windows XP Service Pack 3 Network Installation Package for IT Professionals and Developers - Microsoft Download Center - Download Details
Microsoft Windows XP Service Pack 3 - CNET Download.com
Microsoft hawana ubavu kwa sababu:
1. Walitaka kupiga chini na kuipa promo vista na 7 ikashindikana
2. Walitaka kupiga chini 32bit ikawalazimu kwenda kwenye 64bit
why? it is compatible to most industrial softwares ambazo watu wengi wanatumia
Umeona eeeeeeeeh!!!!?
Lets find another alternative!!!!
Oh!! Mkuu sweetbaby, Can you acknowledge the source of that information?
mkuu jana nilinunua laptop zilitoka canada, aina ya ergo, akaniwekea service pa2 aliniboa sana, hata haikuweka sound device, na muonekano utadhani komputa yangu chuma chakavu. nimetupia kwenye kibegi sijaitoa hadi leo. service p3 nitapata wapi, wenye nazo wanabana sana, yaani watanzania bana utadhani wametengeza wao
CLICK Start, Tafuta My Computer.
Right Click " My Computer".
Click "Properties"
Kwenye tab ya "General, angalia hapo utaona kama ni SP3 au LAA!!!
watastop kutoa support na sio kufunga os hawana ubavu huo.
-itakua microsoft wakiulizwa maswali kuhusu window xp hawajibu (watanzania maswali ya xp hawaulizi web ya microsoft)
-hawatatoa updates (wabongo wana update ant virus tu)
-software za xp zitastopishwa kutengenezwa (watanzania hadi leo wanacheza game za 98 )
-watatoa elimu watu wahamie vista na windows 7 na 8 (elimu haitawafkia watz na ikiwafkia hawataiskiliza)
-computer mpya hazitasuport xp (wabongo wanatumia used hawanunui vipya)
-watablock all ways (torrent na crack zipo za kumwaga)
Sidhan kama ita affect bongo
mkuu jana nilinunua laptop zilitoka canada, aina ya ergo, akaniwekea service pa2 aliniboa sana, hata haikuweka sound device, na muonekano utadhani komputa yangu chuma chakavu. nimetupia kwenye kibegi sijaitoa hadi leo. service p3 nitapata wapi, wenye nazo wanabana sana, yaani watanzania bana utadhani wametengeza wao
Ni vizuri kama ungetoa source ya hiyo information