Hivi hakuna uwezekano wa kuuboresha ule wimbo wa Tazama ramani....., au ule wa Tanzania Tanzania, nakupenda kwa moyo wote.... ili mmoja wao ndiyo uwe wimbo wa Taifa?
Huu wimbo wa Mungu Ibariki Afrika, Mungu Ibariki Tanzania, naona kama vile hauendani kabisa na Tanzania ya sasa. Wimbo hauna hata msisimko wa kujenga moyo wa uzalendo kwa wananchi wa kawaida na viongozi! Na ndiyo maana wahuni wanawaza kuiibia tu nchi.