Wimbo wa Nay wa mitego Mr Nay Mh

Wimbo wa Nay wa mitego Mr Nay Mh

Head current

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2013
Posts
479
Reaction score
128
Kwa aliyeangalia video ya wimbo wa nay wamitego uitwao Mr Nay.

Naomba kujuzwa nini mahusiano ya kumfunga yule yule binti na mnyororo shingoni na ujumbe wa ule wimbo? na pili kuna mahusiano gani kati ya sinki lenye damu, kinyago kile na kumalizia wimbo kwanamba #966 au mwenzetu ndo kashaunga behewa?

Mwenye linki ya huo wimbo atuwekee kwa faida ya wengine.

Kwa kweli mimi sijaelewa kitu hapo.
 
Hata ule wa nakula UJANA huwa unamaliza na 666 ukiwa makin sana utaiona hiyo namba 666
 
kwa hiyo kumbe ile#966# ni 666? kweli jamaa ni rafiki wa lucifa km anavyojiita yeye!
 
Hana ubavu wa kuwa member wa illuminate.... Zile mbwembwe tu anajua wabongo kwa kupenda conspiracy theories atawateka kwa style hiyo.

Hana lolote anatafuta umaarufu kwa style yake ili atengeneze pesa.

Narudia tena Ney wa mitego hana ubavu wa kuwa illuminate
 
Hana ubavu wa kuwa member wa illuminate.... Zile mbwembwe tu anajua wabongo kwa kupenda conspiracy theories atawateka kwa style hiyo.
Hana lolote anatafuta umaarufu kwa style yake ili atengeneze pesa.
Narudia tena Ney wa mitego hana ubavu wa kuwa illuminate

twambie wewe unayejua
 
Bado kuna watu wanaamini hadithi za Freemason na illuminate.!?
 
Hana ubavu wa kuwa member wa illuminate.... Zile mbwembwe tu anajua wabongo kwa kupenda conspiracy theories atawateka kwa style hiyo.

Hana lolote anatafuta umaarufu kwa style yake ili atengeneze pesa.

Narudia tena Ney wa mitego hana ubavu wa kuwa illuminate

kweli unenayo
 
Hana ubavu wa kuwa member wa illuminate.... Zile mbwembwe tu anajua wabongo kwa kupenda conspiracy theories atawateka kwa style hiyo.

Hana lolote anatafuta umaarufu kwa style yake ili atengeneze pesa.

Narudia tena Ney wa mitego hana ubavu wa kuwa illuminate

well noted mkuu! jamaa kaweka mbwembwe tu kuwashika wabongo maana kila kitu cku hizi watz ni Freemasons!
 
well noted mkuu! jamaa kaweka mbwembwe tu kuwashika wabongo maana kila kitu cku hizi watz ni Freemasons!

Umeona mkuu, basi mimi uwa nacheka sana na story za wabongo mara marehemu kanumba, kuna kipindi wakasema sijui diamond baadae wakaja na story kuwa anabeba sembe, sasa hivi Ney naye kaamua kujifanya eti Jigga video zake anazipga symbolism akijua wabongo wataanza ongea apate sifa.
Hakuna lolote.
 
Back
Top Bottom