'hawa jamaa wanao-burn nyimbo kwenye vibanda huwa hawakosi nyimbo mi nadhani unge-check na wale hawa jamaa wana ngoma hata msanii haja-release wao sjui wanapata wapi aisee,check them'
Mi nina shida na tafsiri hasa ya kupata maana katika baadhi ya mashairi ya nyimbo zake. Mfano wimbo ahsanteni kwa kuja pale anaposema, " kila anayekuja anakitambaa mkononi tena kimelowa" . Je anamaanisha nini? Kwa anayejua anifafanulie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.