Usiwe mjinga sana ati eroohuu hapa
Nikufundishe ujanja ninaoutumia kupata hizo jingle tamu za clouds.
Fanya hivi meena ally anavyomalizia amplifaya 21:00 hapo ndio hiyo jingle itaaza irekodi.
Hii jingle hupigwa kila baada ya saa .
Unatumia ubongo kufikiri, hivi ukisikiza music au kuangalia movie inakisaidia nini, empty mind.hizo zinawasaidia nini?
sawa mdada na nyimbo yako ya kipepeoKuna ile moja inambwa “kwasababu wee ni kipepeo nimeitafuta hadi basis wanakuwaga na vinyimbo vizuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Napataje jingo hizi za clouds...
1..wewe ni namba one,wee ni namba one siku zote
2...Tanzania yangu ishi na mimi
Sent using Jamii Forums mobile app
Duu aya cha muhimu bado naishi.sawa mdada na nyimbo yako ya kipepeo
Yeah man, unao huo mkuu?
Hello dear, hivi hii Jingle ya clouds ulifanikiwa kuipata? Kama unayo naihitaji tafadhali. 🙏Wakuu hakuna aliyekapata haka ka wimbo?
Nioneshe ishara...ntakufutilia, nitume kokote ....sjui niagize chochote ntakuwasilishia
Kawimbo kazuri sana haka, kongole kwa siiemjii mob