WADAU,
Kuna hii ngoma uwa inapigwa sana kwenye maeneo ya starehe inaenda na radha ya kukata mauno...yani ndio uibwa hivyo...kiuno kiuno...nimetry kuicheck youtube sijapata matokeo...so nadhani nakosea kuandika jina la wimbo. Kwa mwenye kuufahamu plz anipe jina.
Kuna hii ngoma uwa inapigwa sana kwenye maeneo ya starehe inaenda na radha ya kukata mauno...yani ndio uibwa hivyo...kiuno kiuno...nimetry kuicheck youtube sijapata matokeo...so nadhani nakosea kuandika jina la wimbo. Kwa mwenye kuufahamu plz anipe jina.