Wimbo gani umekukaa kichwani leo?

leroy

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2010
Posts
1,623
Reaction score
2,227
Wapenzi wa Muziki,

Nyimbo gani Imewakaa kichwani leo, na kwanini?

Mimi leo tangu niamke, nausikilizia, "Habibi ya nour el ain, by Amr Diab....
 
Mimi wimbo wa injili (Niguse) wa Glorious Celebration.
 
"Shuka bwana shuka,shuka bwana,,,,,,,,unisikie bwana,kulia kwangu,unitazame bwana kwa macho yako,unyoshe mkono wako na uniguse,,hima bwana shuka niokoe!!!
 
Banchikicha, banchikicha chikicha chikicha.

Nalikwenda Dar es salaama
Nikala Wali kwa nyama
Tonge ya kwanza ikanizama
Tonge ya pili ikanikwama.....

Nlikuwa namuimbia ma baby girl
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…