yutu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2013
- 1,778
- 1,223
Inasikitisha sana kuona sehemu nyingi sana za biashara na public services kama hospital, market areas, hotel etc zinakuwa na walinzi wazee sana (vikongwe) kuanzia umri wa miaka 70 mpaka 80, mazingira na vitendea kazi havijitoshelezi kumfanya afanye kazi impasavyo.
Wengi wamekuwa kama 'boshen' tu. Ataripoti kazini saa 2 ataondoka kwenda kunywa gongo, ulanzi au mchujo kurudi saa 6 au 7.
Silaha aliyokuwa ni manati au panga. Je, mwizi au jambazi aliedhamiria kufanya uhalifu atashindishwa kumdhibiti mlinzi wa aina hii kweli?
Mlinzi anaefanya kazi katika mazingira kama haya 'amekunywa' siku ipite akipata mchongo wa kuihujumu kazi yake, atashindwa kushawishika kweli?
Wastaafu wa majeshi yetu ya ulinzi na usalama wameusika sana kwenye issue hizi kama si kufungua kampuni uchwara za ulinzi basi ni kuajiri au kutafuta ajira kwa kigezo cha wao kuwa na uzoefu wa masuala ya ulinzi na usalama matokeo yake matatizo yanapotokea sehemu husika wao huwa mbali kabisa na hao waliowaajiri mwisho wake hupelekea kufungwa, kudhurika au kupoteza maisha kabisa.
Cha kujiuliza ni kuwa hivi hawa vikongwe walipokuwa kwenye system 'walikula ujana' pasi kujua kesho inajengwa na leo?
Hawa waajiri hawajawaona watu wenye sifa stahiki mpaka wawaajiri hawa vikongwe?
*kula sana ujana ukumbe fainali uzeeni*
Wengi wamekuwa kama 'boshen' tu. Ataripoti kazini saa 2 ataondoka kwenda kunywa gongo, ulanzi au mchujo kurudi saa 6 au 7.
Silaha aliyokuwa ni manati au panga. Je, mwizi au jambazi aliedhamiria kufanya uhalifu atashindishwa kumdhibiti mlinzi wa aina hii kweli?
Mlinzi anaefanya kazi katika mazingira kama haya 'amekunywa' siku ipite akipata mchongo wa kuihujumu kazi yake, atashindwa kushawishika kweli?
Wastaafu wa majeshi yetu ya ulinzi na usalama wameusika sana kwenye issue hizi kama si kufungua kampuni uchwara za ulinzi basi ni kuajiri au kutafuta ajira kwa kigezo cha wao kuwa na uzoefu wa masuala ya ulinzi na usalama matokeo yake matatizo yanapotokea sehemu husika wao huwa mbali kabisa na hao waliowaajiri mwisho wake hupelekea kufungwa, kudhurika au kupoteza maisha kabisa.
Cha kujiuliza ni kuwa hivi hawa vikongwe walipokuwa kwenye system 'walikula ujana' pasi kujua kesho inajengwa na leo?
Hawa waajiri hawajawaona watu wenye sifa stahiki mpaka wawaajiri hawa vikongwe?
*kula sana ujana ukumbe fainali uzeeni*