kombaME
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 2,115
- 2,809
Ukipita pita kwenye page za mastaa huko Instagram utakuta wimbi la wadada wanaojifanya wapo ulaya na wanatafuta mwanaume wa kitanzania linazidi kukua kwa kasi sana, mara ya kwanza nikajua ni sehemu tu ya kuondoleana stress lakin naona siku hadi siku wanazidi kuongezeka tu.
Hivi kuna nini hasa?
Hivi kuna nini hasa?