Sir robby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,404
- 4,053
Hakika inashangaza sana Kuona Wimbi la Ubakaji wa viongozi wa dini Limekuwa kubwa kwa sasa. Je kama Mchungaji au Shehe anaweza kubaka mtoto wake, je anawabaka Watoto wangapi wa Waumini Wake?
Nadhani ni Muda sahihi serikali kufanya Uchunguzi kwa Madhehebu yote Kuona kama yanakidhi vigezo kwa viongozi wake na kama hawakudhi basi Serikali Iyafungie na kuyafutia usajili.
Inashangaza Mtu anaibuka na Kujenga kijumba cha Mabati Chakavu na Kutundika msalaba kisha Yeye na Mke ndio Viongozi wa Kanisa hata Elimu ya Dini hawakupitia kwenye Chuo chochote na Serikali inatoa usajili Matokeo yake ni haya.
Nadhani ni Muda sahihi serikali kufanya Uchunguzi kwa Madhehebu yote Kuona kama yanakidhi vigezo kwa viongozi wake na kama hawakudhi basi Serikali Iyafungie na kuyafutia usajili.
Inashangaza Mtu anaibuka na Kujenga kijumba cha Mabati Chakavu na Kutundika msalaba kisha Yeye na Mke ndio Viongozi wa Kanisa hata Elimu ya Dini hawakupitia kwenye Chuo chochote na Serikali inatoa usajili Matokeo yake ni haya.