Wimbi la vijana kutengeneza video na kutuma YouTube

Ivi hauwezi kuanza ukalipia baadae, bàada ya ww kuanza kulipwa na YouTube??? .apo ni kwa channel za habari tu ndio zinalipiwa??.
Malipo ya kurusha maudhui YouTube ,kwa mujibu wa TCRA ni hivi

Kama ni channel au TV inayorusha mambo ya habari na siasa ada ni 1,000,000/= + 100,000/= ada

Km ni maudhui mengine ni tzs 500,000/= + 100,000

Nini uwe nacho
1.business name reg toka Brela
1.Tin toka tra

Kumbuka ili YouTube ili wakulipe inabidi uwe na subscribers 1000+ watch hour 4000+ ..

Baada yapo hakikisha video zako zinapata watch hour ya kutosha

Nina channel YouTube iko vzr mpk sasa ingawa sijaiamulia sana

Nimeona si mbaya nami nikachangia
 
Ivi bongo kuna wataalamu wa kufundisha namna ya kuandaa content.
Content za maana ndio Silaha! Kulipwa utalipwa tu wala hawana ubabaishaji ila umefuatilia taratibu za nchi yenu kuhusu kulipia leseni ya kufungua Youtube channel?
 
Hiyo leseni ni bure ama unalipia?? Hawa wasanii wa music na bongo movie huwa wamelipwa zile account zao?? Ni account yoyote ya youtube inalipiwa? Ni pesa ngapi?
Account yoyte unakipea leseni Ni 505000 chanel yoyote unatakiwa ulipie na utalipwa ukikudhi vigezo
 
Kumekuwa na vijana wengi kurecord video

Kilichonishangaza ni uandaaji wa video zenyewe inaonekana hakuna maandalizi ya kutosha. Wengi wanadai ni hivyo hivyo zinalipa huko YouTube.

Kama kuna mjuzi aniambie ni kweli video za fasta fasta zinasoko kweli uko YouTube.
Ukifikisha watch hours 4000 na subscribers 1000 unaweza kurequest monetization, ukikubaliwa utaanza kulipwa

Kiwango cha ulipwaji kitategemea na watazamaji wako wanatoka nchi gani

Mfano unaweza ingiza wastani wa dollar 0.8 - 3 kwa views 1000,

Malipo ukifikisha 1000 usd
 
Back
Top Bottom