Wimbi la mabinti kuzaa kabla ya ndoa

Wimbi la mabinti kuzaa kabla ya ndoa

Naona ishakuwa kawaida siku hizi... wanawake wenyewe wanajirahisi, tena wanakutegeshea makusudi!!!

Changes hazizuiliki tuangalie tu ni jinsi gani tutaendana na mtindo huu wa maisha...
 
Huu utetezi wenu mmeukariri tu lakini unawapotezaga sana, nina imani wanaoushadadia ni wale ambao hamjazalishwa au aliyezalishwa lakini ana uchumi wake. Hawa tunaowaona huku kitaa wanaangaika na watoto ni majuto daily
Sasa mito unataka watoe hizo mimba zikiingia ? Sababu kosa moja huleta lingine na lingine .. Wanaume bana wakitoa mimba mnalalamika wakizaa manalalama mnatakaje sasa?
 
Sasa mito unataka watoe hizo mimba zikiingia ? Sababu kosa moja huleta lingine na lingine .. Wanaume bana wakitoa mimba mnalalamika wakizaa manalalama mnatakaje sasa?
No siyo kutoa, wasirubunike kirahisi, watumie kinga, abstain etc
 
Naona ishakuwa kawaida siku hizi... wanawake wenyewe wanajirahisi, tena wanakutegeshea makusudi!!!

Changes hazizuiliki tuangalie tu ni jinsi gani tutaendana na mtindo huu wa maisha...
Tunawategeshea makusudi au nyie pia mnamwaga makusudi ?
Tumia kinga muone kama mimba itanasa

Kwanza, mnahit n run, wadada wa watu wanafika late 30s wanaona watafute tu watoto.
Mimba zenyewe shida kuingia siku hz, what's the point of aborting afu aolewe akeshe hospitals
 
Uwajui wanawake vizur.
Wanajitegesha kupata mimba or wanapewa mimba sehemu nyingine unasingiziwa mwanamke akileta mimba lazima arukwe kwanza.
 
Mimba na ndoa ni vitu viwili tofaut.
Nilipokuwa mwaka wa 3 machiz wangu weng walitegeshea mimba na mademu class.
Mimba syo ndoa.madem wenyewe micharuko af anakuja nina mimba yakoooo.
 
Tunawategeshea makusudi au nyie pia mnamwaga makusudi ?
Tumia kinga muone kama mimba itanasa

Kwanza, mnahit n run, wadada wa watu wanafika late 30s wanaona watafute tu watoto.
Mimba zenyewe shida kuingia siku hz, what's the point of aborting afu aolewe akeshe hospitals
mdada kama unashindwa kuzijua siku zako nalo ni tatizo, mtu ata amwage ndani mara mia kama ni siku safe you are good!!!

hiyo issue ya kusema mimba ni shida kuzipata ndo mana mnaanza kuzitafuta hata kabla ya ndoa..
 
mdada kama unashindwa kuzijua siku zako nalo ni tatizo, mtu ata amwage ndani mara mia kama ni siku safe you are good!!!

hiyo issue ya kusema mimba ni shida kuzipata ndo mana mnaanza kuzitafuta hata kabla ya ndoa..
Aiseeeeh!

Basi sawa
 
Back
Top Bottom