Eddy da Rose Jr
JF-Expert Member
- Jun 1, 2023
- 244
- 244
Huyu Onana ana kipaji kizuri sana. For sure anaweza kutupa raha sana kama timu itarudi kwenye utamu wake. Au mnasemaje wadau?
Hapana. Hebu mfuatilie vizuri ukiachana na jana kutuepusha na aibu ya kupoteza second consecutive game. Rejea rekodi zake, ni mchezaji mzuri sana.Kisa kuwafunga wadigo?
Sasa pale si ilikuwa kulwa na doto wanacheza tu?
👎👎👎Simba hata wakifungwa na kitu kizito mkononi kila mchezaji lazima waifunge coastal union...
We tangu uzaliwe lini uliona coastal kamfunga Simba?
Lile Goli la onana huoni mabeki walikua wanamkwepa Tu wenyewe ili jamaa afunge..
Onana kitu pekee cha kujivunia ni kutoboa masikio na kuvaa hereni kama Zuchu
Vipi sasa zile spana alizokuwa anatupiwa kipindi kile kuwa mvivu sana na anapoteza mipira sana pia mlaini sana kama zuchu?Hapana. Hebu mfuatilie vizuri ukiachana na jana kutuepusha na aibu ya kupoteza second consecutive game. Rejea rekodi zake, ni mchezaji mzuri sana.
Napigia mstari.Simba hata wakifungwa na kitu kizito mkononi kila mchezaji lazima waifunge coastal union...
We tangu uzaliwe lini uliona coastal kamfunga Simba?
Lile Goli la onana huoni mabeki walikua wanamkwepa Tu wenyewe ili jamaa afunge..
Onana kitu pekee cha kujivunia ni kutoboa masikio na kuvaa hereni kama Zuchu
Kwani wanaofadhili yanga si ndio haohao wafadhili wa coastalKisa kuwafunga wadigo?
Sasa pale si ilikuwa kulwa na doto wanacheza tu?
Kama uliangalia mpira,utaona kuwa wadhamini wa coastal ambao ni gsm walitoa donge nono kama jamaa wangeambulia hata draw..ila kama uliskiza tu mpira unaweza sema walikuwa wanacheza kulwa na dotoKisa kuwafunga wadigo?
Sasa pale si ilikuwa kulwa na doto wanacheza tu?
Wadhamini wanahusika nini kipindi mnafungwa mlidhaminiwa na nani majitu mazima kujiliza liza kila sikuKama uliangalia mpira,utaona kuwa wadhamini wa coastal ambao ni gsm walitoa donge nono kama jamaa wangeambulia hata draw..ila kama uliskiza tu mpira unaweza sema walikuwa wanacheza kulwa na doto
Kawa mhudumu wa gesti.Nahodha wetu Bocco yuko wapi?
Uzi ufungwe hapa.Huyu anajua soka ila bishoo mnoo, anaridhika mapema, jana kafunga goli akaona mdio kamaliza, hata zile kashikashi za kufosi zikaisha, akawa anapoza mpira, back pasi nyingi.. A aonekana ni MVIMBA KICHWA sasa kwa mashabiki wa bongo wanavyojua kumpamba mtu, namuona atapotea la sivyo abadilike.
Umedandia tu reply boss,kwani wakati tunafungwa 5 mdhamini wetu alikuwa gsm?Wadhamini wanahusika nini kipindi mnafungwa mlidhaminiwa na nani majitu mazima kujiliza liza kila siku
Mzee ukifanikiwa kuumiliki mchezo u atakiwa kupooza mchezo,ndio yakikuwa maelekezo ya mwalimu,sa ukitaka acheze mbeke pake ake akati wenzie wanacheza kweny eneo lao.Au mpira uliutazama wasafi fmHuyu anajua soka ila bishoo mnoo, anaridhika mapema, jana kafunga goli akaona mdio kamaliza, hata zile kashikashi za kufosi zikaisha, akawa anapoza mpira, back pasi nyingi.. A aonekana ni MVIMBA KICHWA sasa kwa mashabiki wa bongo wanavyojua kumpamba mtu, namuona atapotea la sivyo abadilike.