William Ruto has urged his citizens to get rid of U.S. Dollars because soon the Dollar will be worthless

Broo bora hata umeweka sawa , watu wanadhani dollar kuanguka ni kitu rahisi , hawajui how complex dollar is wired to individual country economy.
Malawi na zimbabwe zilishawai experience dollar shortages, ni kipindi hicho mafuta kwenye petrol station yalikuwa ya mgao .
Nchi ikishaikosa dola si tu haiwezi kununua mbolea bali hata mafuta haiwezekani kununua ,
Bahati mbaya Kenya hawana chq maana ku export ili ku sustain mahitaji ya dola
Dollar kuondoka ni ngumu sababu wanunuzi wakubwa kutoka China ni hao hao Wazungu, wanampa China Dollar.

Mikopo na misaada hutolewa interms of Dollars, hata mchina anachukua dollar

Ni wehu tu huamini kuwa ni rahisi kuachana na dollar ndani ya siku 1 au 2

Kinachoendelea Kenya ni kuwa wafanyabiashara wamejihami.
Kitachofuata ni mauaji yakutisha kwa wafanyabiashara

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Si kweli Ruto mkuu,yupo sahihi kabisa.Many nations are dumping the US dollar for the following reasons:
1.It is a Fiat Currency i.e it is backed by nothing,na kwa sasa the Federal Reserve ina-print US dollars ad-lib,so in no time the inflation Buble will burst.So kiukweli it is worthless hata sasa,sema tu the "Mamon" is holding back it's total collapse,but it's total collapse is imminent.
2.America is not a reliable partner.Mataifa mengine yameona
US ilivyo iibia Urusi assets zake,proving that it is not a dependable partner.
3.America has exposed itself as a very evil nation,so other nations are distancing themselves from it hata in monetary issues.
For the record ,ni nchi gani haitumii Us dollar?
Visa na mastercard Atms zipo duniani kote , ndio njia maarufu ya kupata quick cash, transaction ya hizi Atm zinakuwa calculated interms of dollar.
 
For the record ,ni nchi gani haitumii Us dollar?
Visa na mastercard Atms zipo duniani kote , ndio njia maarufu ya kupata quick cash, transaction ya hizi Atm zinakuwa calculated interms of dollar.
Mbona una-miss point.Yes nchi zilikuwa zinatumia US$,lakini times have changed,and countries are distancing themselves from the dollar kwa sababu nilizo-zisema.Mkuu America is collapsing,whether you like or not,tena it is being destroyed by design.
 
Mbona una-miss point.Yes nchi zilikuwa zinatumia US$,lakini times have changed,and countries are distancing themselves from the dollar kwa sababu nilizo-zisema.Mkuu America is collapsing,whether you like or not,tena it is being destroyed by design.
Hakuna nchi isiyotumia dollar katika transaction zake , acha story za kusadikika
Nitajie moja tu, huyo Ruto kutapatapa kote ni vile hana dola za kufanya matumizi muhimu kama kununua mafuta.
 
Hakuna nchi isiyotumia dollar katika transaction zake , acha story za kusadikika
Nitajie moja tu, huyo kutapatapa kote ni vile hana dola za kufanya matumizi muhimu kama kununua mafuta.
Nadhani tuachane,umelishwa matango mwitu mno.Wame-lock ubongo wako na wameondoka na password,huwezi kuelewa anything different from what your handlers have fed you. You are obviously suffering from Mass Formation Psychosis,ni wa kuhurumiwa tu,pole.
 
Nadhani tuachane,umelishwa matango mwitu mno.Wame-lock ubongo wako na wameondoka na password,huwezi kuelewa anything different from what your handlers have fed you. You are obviously suffering from Mass Formation Psychosis,ni wa kuhurumiwa tu,pole.
Matusi ni ishara ya kuishiwa hoja , ,Zunguka dunia , ili ufungue akili, ndo utajua Usa ni dubwana la aina gani.
 
Matusi ni ishara ya kuishiwa hoja , ,Zunguka dunia , ili ufungue akili, ndo utajua Usa ni dubwana la aina gani.
Dah,sawa Bwana endelea kudanganywa na the Empire of Lies.This👇is what Ruto knows and you do not know

 
Dah,sawa Bwana endelea kudanganywa na the Empire of Lies.
Mimi nakusihi Tembea dunia , utafungua sana uelewa wako .
Leo hii google ambayo nina uhakika unatumia, ina uwezo wa kutambua sauti hadi sura yako , na zinaweza kutumika kama reference should you misbehave.hii ni mipango ya kijasusi ya kimarekani ambayo hadi uje kujua tayari wenzako hawapo hapo.
China anatengeneza simu , lakini bila Google , simu zake ni useless.
 
Mimi nakusihi Tembea dunia , utafungua sana uelewa wako .
Leo hii google ambayo nina uhakika unatumia, ina uwezo wa kutambua sauti hadi sura yako , na zinaweza kutumika kama reference should you misbehave.hii ni mipango ya kijasusi ya kimarekani ambayo hadi uje kujua tayari wenzako hawapo hapo.
China anatengeneza simu , lakini bila Google , simu zake ni useless.
Ili iweze kumuelewa Ruto na what is about to befall the once mighty US$ ,please follow the following link.Kama nilivyokwisha kuambia, the demise of the once mighty US$ is immitent,prepare,do not bury your head in the sand,huu ni ushauri wa bure,ukishupaza shingo itavunjika.

 
Naskia wamatekani wanachapicha minoti na kuisambaza duniani kwenda kubeba real materials kama gold, diamond, other raw materials n.k

Yaan ni sawa una ng'ombe, mm naingia kwenye mashine nachapisha karatasi nakuletea unanipa ng'ombe.

Yo circle inaendelea hivo ila sijui ina madhara gani kwa muuza ng'ombe maana nae ataenda ku spend kwingineko bila dhida yyte.

Nani atufafanulie madhara atakayopata muuza ng'ombe?
Yeye anaenda kumfuga ng'ombe,ata zaa huenda akamuuza baadae pindi ambapo thamani ya fedha itakuwa nzuri.
 
Mimi nakusihi Tembea dunia , utafungua sana uelewa wako .
Leo hii google ambayo nina uhakika unatumia, ina uwezo wa kutambua sauti hadi sura yako , na zinaweza kutumika kama reference should you misbehave.hii ni mipango ya kijasusi ya kimarekani ambayo hadi uje kujua tayari wenzako hawapo hapo.
China anatengeneza simu , lakini bila Google , simu zake ni useless.
Kujaribu kuendelea kukusaidia ili uuone ukweli uliopo kwenye ushauri wa Ruto hebu sikiliza clip ifuatayo.

 
Dah,sawa Bwana endelea kudanganywa na the Empire of Lies.This👇is what Ruto knows and you do not know


Saudi hadi kesho inategemea dola za msaada acha za kuuza mafuta, huu mkwara mbuzi Marekani huwa hajibu! Nchi zote zinazonunua mafuta zinasaka dola kwanza ndo ziende Uarabuni kununua, why wasize kwa sarafu zao walizoziinfletisha sana, hela ya UAE ina value kubwa ya kutisha lkn hainunui nje hadi asake dola! Hebu rudi kwenye mind yako na ujue maombi yako hata ya kufunga na kukesha utakufa njaa bure na dola itakuwa juu hadi unaaga dunia, probably hadi wajukuu wako hawataona dola imeanguka!

Ruto hana tofati na magu, wana/liishi on dreams na hate!
 
Benki kenya hazina dola na watu kwa kulijua hilo wanaficha kwa matumizi yao muhimu .
Huo ni mkwara ili wazitoe ziingie kwenye mzunguko,
This was my very first impression.

Ruto anataka dollar zirudi mtaani ndo maana anawatia ujinga wakenya wenzake.
 
Saudi hadi kesho inategemea dola za msaada acha za kuuza mafuta, huu mkwara mbuzi Marekani huwa hajibu! Nchi zote zinazonunua mafuta zinasaka dola kwanza ndo ziende Uarabuni kununua, why wasize kwa sarafu zao walizoziinfletisha sana, hela ya UAE ina value kubwa ya kutisha lkn hainunui nje hadi asake dola! Hebu rudi kwenye mind yako na ujue maombi yako hata ya kufunga na kukesha utakufa njaa bure na dola itakuwa juu hadi unaaga dunia, probably hadi wajukuu wako hawataona dola imeanguka!

Ruto hana tofati na magu, wana/liishi on dreams na hate!
Unayozungumza yote ni History,the situation has changed.This is the new reality👇.

 
Everything that goes up must come down.
Correct brother,we had many empires before us,but they are no more.We have reached the end of the American Empire,it too will go.Infact it has all the characteristics of an Empire in decline.
 
View attachment 2566395
If you have been following World affairs closely, you probably already know what is ahead of humanity.With that in mind,President of Kenya has urged his citizens to get rid of U.S. Dollars, because soon the dollar will be worthless (Operation Sandman?).This is free advice to you also.

=========

25 MARCH 2023
The President of Kenya today announced to all citizens they should get rid of any U.S. Dollars they may be holding because they will become worth less within weeks.

William Kipchirchir Samoei Arap Ruto, Ph.D, CGH; is a Kenyan politician who is serving as the fifth and current president of Kenya since 13 September 2022.

Prior to becoming president, he served as the first deputy president of Kenya from 2013 to 2022.

Today, in a nationally televised speech in Kenya, Ruto said “Those of you who are holding dollars, you shortly might go into losses. So you better do what you have to do because this market will be different in a couple of weeks.”
Here is actual video so you can hear him say it for yourselves:

This stunning announcement gives credibility to a RUMOR that has been circulating for over a year, that 142 countries around the world have secretly agreed to what they call "Operation Sandman."

According to the RUMOR, Operation Sandman will "put the US Dollar to sleep" by having all 142 countries repudiate the currency on the same day, and refuse to continue accepting it for payment in Trade.

Countries around the world began planning this when they witnessed the then-Democrat-Controlled US Congress, go on a spending spree of several TRILLION Dollars in Omnibus Bills. Those countries realized there is nothing backing the value of US Dollars and they saw that the US Congress has no plans at all to reign-in spending.

One country's Finance Ministry recently told the US, "We are no longer willing to accept ones and zeros in a bank computer as actual payment for real goods."

The countries agreed that holding US currency was becoming foolish because it was becoming worthless on its face, thanks to all the rampant over-spending by the US Government.
Now, it appears those countries may actually take action "within a couple weeks."

If countries around the world repudiate the Dollar as payment for goods in trade, then they would halt providing manufactured goods or raw materials unless paid in some currency OTHER THAN DOLLARS.

Since the U.S. barely does any manufacturing at all anymore, thanks to the business nitwits who thought it was a good idea to convert the US economy to a "service economy" then products we buy in stores will simply run out and we will be unable to re-stock because no one will want our money.

Among the business nitwits are also those who pushed for "Free Trade" claiming it would improve sales of American-made goods overseas if America agreed to halt Tariffs on all imported items.

The government bought-into the idea, not realizing - or not caring - that these very businessmen weren't at all interested in selling more American goods overseas. What they were interested in was shipping American JOBS overseas, taking advantage of cheap labor, then shipping those exact same products back to the USA to sell at the same high prices . . . . while pocketing the profit from the new, foreign, cheap labor without having to pay Tariiffs.

The Businessmen, their corporate Boards of Directors, and Commerce Organizations who touted "Free Trade" were the ones who moved American jobs overseas and now, the country barely manufactures anything, anymore.

So here we are, years later, and thanks to those businessmen, and the federal politicians who foolishly believed their lies about "Free Trade," we have almost no manufacturing. Countries around the world seem to be actually planning to stop accepting the US dollar as payment, so we won't be able to buy anything because it's all made overseas now!

Retaliation against the people who did this should be swift and ferocious when Americans can no longer buy even life's basics because corporate titans and certain others stripped our country of manufacturing.

PREPARE NOW!
To understand the thinking of Rutos' stance please follow the following links.
Mzee mna ndoto za alinacha wewe na Ruto yaani nisuse dollar zangu kwa utabiri wenu,mbona yeye za kwake kazificha uswisi???🤣🤣🤣 Mimesoma viambatinishi vyako nikijua ni vya kisomi,ila nilipokiona hicho saudia na title yake basi nikajua mrengo wako.Takbir dua la kuku halimpati mwewe
 
Sio leo wala kesho, tuhesabu vizazi kadhaa mbele
You are burrying your head in the sand,the facts on the ground tells it all.

Lakini mbona mnaitetea sana US,tena such an evil empire.Lazima mtakuwa na an unhealthy relationship nayo.Au wewe ni sehemu ya wale wa Mwakyembe!?
 

Attachments

  • VID-20230328-WA0000.mp4
    12.9 MB
  • VID-20230328-WA0001.mp4
    10.5 MB
Back
Top Bottom