William Ruto has urged his citizens to get rid of U.S. Dollars because soon the Dollar will be worthless

Hiyo hela anayopata Muuza N'gombe katika mazingira hayo ni inflated,ikiwa na maana kwamba thamani yake ni ndogo,so he/she will have to sell alot of cows ili afanye analotaka kufanya,na hiyo ni hasara kwake.Also ipo inflation Buble,a point where the money or currency is worth nothing,so kama ameweka deposits zako in US $ for example,his/her dollars will have zero value,kwa hiyo ataingia hasara.

Katika mazingira ya sasa,the best option ni kuwa na real assets kama dhahabu nk.
.
Screenshot_20230313-142551.jpg
 
Hamna kitu zaidi kuwa anataka kudhibiti currency exchange shops mfano wa magufuli alivyofanya, anahisi watu wanaficha pesa
Hata Mimi nawaza hivyo.. inasemekana vigogo Kenya wameficha pesa nje ya nchi inafanya mzunguko wa pesa katika banks kuwa mdogo kenya.. wamemsusa ruto
 
Hamna kitu zaidi kuwa anataka kudhibiti currency exchange shops mfano wa magufuli alivyofanya, anahisi watu wanaficha pesa
Si kweli Ruto mkuu,yupo sahihi kabisa.Many nations are dumping the US dollar for the following reasons:
1.It is a Fiat Currency i.e it is backed by nothing,na kwa sasa the Federal Reserve ina-print US dollars ad-lib,so in no time the inflation Buble will burst.So kiukweli it is worthless hata sasa,sema tu the "Mamon" is holding back it's total collapse,but it's total collapse is imminent.
2.America is not a reliable partner.Mataifa mengine yameona
US ilivyo iibia Urusi assets zake,proving that it is not a dependable partner.
3.America has exposed itself as a very evil nation,so other nations are distancing themselves from it hata in monetary issues.
 
Naskia wamatekani wanachapicha minoti na kuisambaza duniani kwenda kubeba real materials kama gold, diamond, other raw materials n.k

Yaan ni sawa una ng'ombe, mm naingia kwenye mashine nachapisha karatasi nakuletea unanipa ng'ombe.

Yo circle inaendelea hivo ila sijui ina madhara gani kwa muuza ng'ombe maana nae ataenda ku spend kwingineko bila dhida yyte.

Nani atufafanulie madhara atakayopata muuza ng'ombe?

Ndo uhuni wa US anaprint noti anawapa mikopo mtalipa na Riba juu kapata faida. Hasara zipo nyingi hapa ni masuala ya uchumi ni pana sana unaweza kwenda google ukapata madini.

Si unaona bank zao zimeanza kufa kwa kasi? Hiyo ni moja ya impact.
 
US are printing more money papers and giving out to other nations as Bond so as to increase foreign currency reserve in order to be dominant.
But the reality in the meantime could create inflation bubbles and due to external conflicts with Russia and other Asian countries like China would weaken their reserve currency because many nations are looking for the alternatives.
Alternative for now is Yuan and could impact NEW WORLD ORDER.
 
Hamna kitu zaidi kuwa anataka kudhibiti currency exchange shops mfano wa magufuli alivyofanya, anahisi watu wanaficha pesa
Si kweli mkuu,unahitaji kupata knowledge zaidi.Inaelekea wewe si msaka taarifa,kwa kuwa huna knowledge kabisa ya current affairs.
Fuata link ifuatayo upanue mawazo mkuu.

 
O

Kwa hiyo Ruto ana-day dream.Sawa mkuu.Kiukweli huilewi Dunia kabisa.The Empire of Lies has zombified you.Sad.

Yani ruto hapo nairobi aotee dola $$$ inaanguka atahadharishe watu Inaingia akilini kweli?, kwa data gani?? Angalia GDP ya US kwanza ujifunze na uone sources za revenue hlf tathmini lini zitakoma kuzalisha. Yani dola ianze tu kuanguka 1% then 2%, 3%... 10% halafu dunia ya kwanza - the most successful nation inatazama tu kwa kuwa Ruto na Mathanzua wanaiombea ianguke???

Wishfull thinking mzee Mtahanzua, $$$ imesimamishwa kwenye mwamba! haitakaa ianguke hata Yesu anaporudi! Najua unajua hilo unajitoa ufahamu tu. Hamna pesa itakuja kuiangusha $$$ kwa at least miaka 100 ijayo!
 
Yani ruto hapo nairobi aotee dola $$$ inaanguka atahadharishe watu Inaingia akilini kweli?, kwa data gani?? Angalia GDP ya US kwanza ujifunze na uone sources za revenue hlf tathmini lini zitakoma kuzalisha. Yani dola ianze tu kuanguka 1% then 2%, 3%... 10% halafu dunia ya kwanza - the most successful nation inatazama tu kwa kuwa Ruto na Mathanzua wanaiombea ianguke???

Wishfull thinking mzee Mtahanzua, $$$ imesimamishwa kwenye mwamba! haitakaa ianguke hata Yesu anaporudi! Najua unajua hilo unajitoa ufahamu tu. Hamna pesa itakuja kuiangusha $$$ kwa at least miaka 100 ijayo!
Yours is what is wishful thinking.Mkuu it is obvious uimara wa US Dollar is on the decline,kwa kuwa demand yake ina-decline.Nations using alternative currencies as reserve currency and trade has huge repurcursions on its' value. Kwa mchumi hili liko wazi sana, wala halihitaji discussion.
 
Yours is what is wishful thinking.Mkuu it is obvious uimara wa US Dollar is on the decline,kwa kuwa demand yake ina-decline.Nations using alternative currencies as reserve currency and trade has huge repurcursions on its' value. Kwa mchumi hili liko wazi sana, wala halihitaji discussion.

Kudecline kwa 1-5% inatokea sana na inabounce back lakini nakuhakikishia haitadecline zaidi ya 5% hadi unamaliza maisha yako! Utaona inashuka na kupanda daily, just relax hamna maombi wala nguvu ya mchina itaishusha dola hadi ikose value kama unavyoombea kila siku. Repercusions za kibiashara ni lazima zitokee kama mabenk kadhaa yaliyofilisika majuzi ni outcome kupandisha interest rate kulikofanywa na wizara ya fedha. Lakini dola kuanguka sio leo wala kesho boss!
 
The dollar’s dominance is unlikely to change in the near future, and it will remain the principal currency of international trade and transactions, No other currency is close to replacing it. But its stranglehold on the global financial system could weaken if more countries start trading in other currencies and reduce their exposure to the dollar.
Huo ni mkwara tu ,Kenya kwa sasa ina experience huge dollar shortage crisis, yaani ni so serious hadi wanashindwa kununua vitu nje .
Shida yao kubwa ni kuwa hawana significant goods to export, na walikuwa wanategemea watalii ambao kwa sasa pattern imeshift.
Tanzania ndo utaipenda hapo !!tuna vitu tele vya ku export , huo mkaa tu hapo Ruvuma unaingiza full midola. Ukija geita hali kadhalika
 
Benki kenya hazina dola na watu kwa kulijua hilo wanaficha kwa matumizi yao muhimu .
Huo ni mkwara ili wazitoe ziingie kwenye mzunguko,
 
Benki kenya hazina dola na watu kwa kulijua hilo wanaficha kwa matumizi yao muhimu .
Huo ni mkwara ili wazitoe ziingie kwenye mzunguko,
Hio ni sahihi kabisa Kenya inaenda Ku experience shortage of dollars like Malawi ambayo wakizembea watashindwa kuagiza fertilizer msimu ujao wa kilimo na hii italeya njaa Kali nchini kwao
La sivo waendelee kukopa Ili wapate dollars na waongeze export ndipo watakuwa stable
Tatizo watu wa Uhuru wanaficha inflow ya dollar sababu hawana uhakika na usalama wa biashara zao hivo ni lazima President Ruto akutane na Cha mtemakuni na ameshapanic ndio mana anasema hivyo
 
View attachment 2566395
If you have been following World affairs closely, you probably already know what is ahead of humanity.With that in mind,President of Kenya has urged his citizens to get rid of U.S. Dollars, because soon the dollar will be worthless (Operation Sandman?).This is free advice to you also.

=========

25 MARCH 2023
The President of Kenya today announced to all citizens they should get rid of any U.S. Dollars they may be holding because they will become worth less within weeks.

William Kipchirchir Samoei Arap Ruto, Ph.D, CGH; is a Kenyan politician who is serving as the fifth and current president of Kenya since 13 September 2022.

Prior to becoming president, he served as the first deputy president of Kenya from 2013 to 2022.

Today, in a nationally televised speech in Kenya, Ruto said “Those of you who are holding dollars, you shortly might go into losses. So you better do what you have to do because this market will be different in a couple of weeks.”
Here is actual video so you can hear him say it for yourselves:

This stunning announcement gives credibility to a RUMOR that has been circulating for over a year, that 142 countries around the world have secretly agreed to what they call "Operation Sandman."

According to the RUMOR, Operation Sandman will "put the US Dollar to sleep" by having all 142 countries repudiate the currency on the same day, and refuse to continue accepting it for payment in Trade.

Countries around the world began planning this when they witnessed the then-Democrat-Controlled US Congress, go on a spending spree of several TRILLION Dollars in Omnibus Bills. Those countries realized there is nothing backing the value of US Dollars and they saw that the US Congress has no plans at all to reign-in spending.

One country's Finance Ministry recently told the US, "We are no longer willing to accept ones and zeros in a bank computer as actual payment for real goods."

The countries agreed that holding US currency was becoming foolish because it was becoming worthless on its face, thanks to all the rampant over-spending by the US Government.
Now, it appears those countries may actually take action "within a couple weeks."

If countries around the world repudiate the Dollar as payment for goods in trade, then they would halt providing manufactured goods or raw materials unless paid in some currency OTHER THAN DOLLARS.

Since the U.S. barely does any manufacturing at all anymore, thanks to the business nitwits who thought it was a good idea to convert the US economy to a "service economy" then products we buy in stores will simply run out and we will be unable to re-stock because no one will want our money.

Among the business nitwits are also those who pushed for "Free Trade" claiming it would improve sales of American-made goods overseas if America agreed to halt Tariffs on all imported items.

The government bought-into the idea, not realizing - or not caring - that these very businessmen weren't at all interested in selling more American goods overseas. What they were interested in was shipping American JOBS overseas, taking advantage of cheap labor, then shipping those exact same products back to the USA to sell at the same high prices . . . . while pocketing the profit from the new, foreign, cheap labor without having to pay Tariiffs.

The Businessmen, their corporate Boards of Directors, and Commerce Organizations who touted "Free Trade" were the ones who moved American jobs overseas and now, the country barely manufactures anything, anymore.

So here we are, years later, and thanks to those businessmen, and the federal politicians who foolishly believed their lies about "Free Trade," we have almost no manufacturing. Countries around the world seem to be actually planning to stop accepting the US dollar as payment, so we won't be able to buy anything because it's all made overseas now!

Retaliation against the people who did this should be swift and ferocious when Americans can no longer buy even life's basics because corporate titans and certain others stripped our country of manufacturing.

PREPARE NOW!

These international reports are missing the context.

Ruto was talking of dollar in the Kenyan context. We have signed a deal to buy oil in Shillings, which will relieve pressure on dollar reserves, which means the shilling is expected to gain value.
 
Hio ni sahihi kabisa Kenya inaenda Ku experience shortage of dollars like Malawi ambayo wakizembea watashindwa kuagiza fertilizer msimu ujao wa kilimo na hii italeya njaa Kali nchini kwao
La sivo waendelee kukopa Ili wapate dollars na waongeze export ndipo watakuwa stable
Tatizo watu wa Uhuru wanaficha inflow ya dollar sababu hawana uhakika na usalama wa biashara zao hivo ni lazima President Ruto akutane na Cha mtemakuni na ameshapanic ndio mana anasema hivyo
Broo bora hata umeweka sawa , watu wanadhani dollar kuanguka ni kitu rahisi , hawajui how complex dollar is wired to individual country economy.
Malawi na zimbabwe zilishawai experience dollar shortages, ni kipindi hicho mafuta kwenye petrol station yalikuwa ya mgao .
Nchi ikishaikosa dola si tu haiwezi kununua mbolea bali hata mafuta haiwezekani kununua ,
Bahati mbaya Kenya hawana chq maana ku export ili ku sustain mahitaji ya dola
 
US are printing more money papers and giving out to other nations as Bond so as to increase foreign currency reserve in order to be dominant.
But the reality in the meantime could create inflation bubbles and due to external conflicts with Russia and other Asian countries like China would weaken their reserve currency because many nations are looking for the alternatives.
Alternative for now is Yuan and could impact NEW WORLD ORDER.
Kinachozuia nchi zingine zisifanye hivyo ni nin?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom