Will he or won’t he? That’s the question!

Will he or won’t he? That’s the question!

uwe unapost kiswahili, huu uzi makamanda wapo njia panda hawajui wakutukane au wasifie yaani wanachungulia wanasepa! hawaelewi hyo lugha
 
Iwe na isiwe, Lissu lazima apambanishwe na Sizonje a.k.a Uchwara ifikapo 2020. Ndo utakuwa mwisho wa dikteta kwenye anga ya siasa za Bongo.

Mkuu..mkuu amka utakojoa kitandani. Sio kwa ndoto hizo aisee.
 
He will not. And that is for sure because, he did not go there to ask for his coming back but went there to bargain for more than that. He has a son in law rotting in jail while culprits are walking in the streets free as air.
My hunch in; He went there to ask for mercy not pardon.
 
dah! nlikuwa natafuta dikshenari yangu hapa, kumbe vijana wamefungua shule wakaenda nayo!
Ngoja nitafute uzi mwingine tu sasa wa kuchangia.
 
Chadema ni wajinga sana kiukweli. kwisha habari yao.
 
I think the boom shell is for him to stay put and fight the rise of Lissu. Because that will be the rebirth of "New Chadema". Chadema of policy making rather than Chadema of grabbing headlines.
Yaani huyo Lissu watu mnamchukulia kama Mungu flani, ni binadamu tu naye na ana madhaifu yake kama binabamu wengine. Mind you asije kuwaSHANGAZA siku moja.
 
Yaani huyo Lissu watu mnamchukulia kama Mungu flani, ni binadamu tu naye na ana madhaifu yake kama binabamu wengine. Mind you asije kuwaSHANGAZA siku moja.
Haha, mimi sio mpenzi wa mtindo wake wa siasa. Dalili ni nyingi sasa ikitokea akachukuwa nchi anaweza kutuuza jumla jumla. Lakini hata hivyo ana mtiani mkubwa sana kama akitaka kufikia uongozi wa juu wa Chadema. Chadema ina wenyewe.
 
Back
Top Bottom