Tanzania imeongeza mgao wa umeme na kuufanya kuwa mkali zaidi kutokana na vyanzo vyake katika mabwawa ya umeme kupungua maji limesema shilika la habari la BBC la uingereza.
Mabwawa hayo yamepungua maji kwa kiwango kikubwa kutokana na ukame.
Lakini Shirika la Umeme Tanzania TANESCO limeahidi maeneo muhimu kama hospitali hayataariwa na mgao huo.
Afrika Mashariki inaripotiwa kuathiriwa na ukame mkali kwa miaka 60 iliyopita.
Watu wapato milioni 10 wanahitaji msaada wa chakula hasa nchini Somalia, Kenya na Ethiopia.
Tanzania inategemea zaidi ya nusu ya vyanzo vyake vya umeme kupitia mabwawa hayo.
Msemaji wa TANESCO Badra Masoud, ameiambia BBC Idhaa ya Kiswahili kuwa upungufu wa mvua ndio chanzo cha matatizo hayo kutokana na mabwawa kushindwa kufanya kazi ipasavyo.
"Kutakuwa na mgao lakini hautakuwa wa saa 24," alisema.
"Baadhi ya watu hawatakuwa na umeme kati ya saa mbili za usiku mpaka saa sita na wengine wakosa kuanzia saa 12 hadi saa tano usiku ( saa za Afrika Mashariki.
"Lakini maeneo ya Hospitali na kwenye pampu za maji hazitaathiriwa," alisema Bi Masoud.
Mabwawa ya ndio chanzo kikubwa cha umeme kwa TANESCO huku gesi na mitambo ya umeme vikchangia kiasi kilichobaki.
Mabwawa hayo yanatarajiwa kuanza kujaa tena msimu wa mvua utakapoanza mwezi Septemba.
CV YA NGELEJA AMBAYE NI WAZIRI WA NISHATI NA MADINI.
[TD="class: datalabel2"]ame[/TD]
[TD="class: keydata"]William Ngeleja[/TD]
[TD="class: datalabel2"]Surname[/TD]
[TD="class: data"]Ngeleja[/TD]
[TD="class: datalabel2"]First Names[/TD]
[TD="class: data"]William Mganga[/TD]
[TD="class: datalabel2"]Alternate Name[/TD]
[TD="class: data"] [/TD]
[TD="class: datalabel2"]Title[/TD]
[TD="class: data"] [/TD]
[TD="class: datalabel2"]Country of Birth[/TD]
[TD="class: data"]
Tanzania
[/TD]
[TD="class: tableheader, colspan: 4"]Positions[/TD]
[TD="class: datalabel2"]From[/TD]
[TD="class: datalabel2"]To[/TD]
[TD="class: datalabel2"]Organisation[/TD]
[TD="class: datalabel2"]Position[/TD]
[TD="class: data"]2008[/TD]
[TD="class: data"] [/TD]
[TD="class: data"]
Ministry of Energy & Mineral Resources
[/TD]
[TD="class: data"]Minister of Energy & Mineral Resources[/TD]
[TD="class: data"]2005[/TD]
[TD="class: data"] [/TD]
[TD="class: data"]
Sengerema Constituency
[/TD]
[TD="class: data"]Member of Parliament for Sengerema[/TD]
[TD="class: data"]2000[/TD]
[TD="class: data"]2005[/TD]
[TD="class: data"]
Vodacom Tanzania
[/TD]
[TD="class: data"]Advocate[/TD]
[TD="class: data"]1996[/TD]
[TD="class: data"]1999[/TD]
[TD="class: data"]
University of Dar es Salaam
[/TD]
[TD="class: data"]Postgraduate Student - LLM Law[/TD]
[TD="class: data"]1995[/TD]
[TD="class: data"]2000[/TD]
[TD="class: data"]
PriceWaterhouseCoopers
[/TD]
[TD="class: data"]Advocate - PWC Tanzania[/TD]
[TD="class: data"]1994[/TD]
[TD="class: data"]1994[/TD]
[TD="class: data"]
Attorney General's Chambers
[/TD]
[TD="class: data"]Government Lawyer in the Attorney General's Chamber[/TD]
[TD="class: data"]1991[/TD]
[TD="class: data"]1994[/TD]
[TD="class: data"]
University of Dar es Salaam
[/TD]
[TD="class: data"]Undergraduate Student - LLB Law[/TD]
[TD="class: datalabel2"]Date of Birth[/TD]
[TD="class: data"]5 Oct 1967[/TD]
[TD="class: datalabel2"]Political Affiliation[/TD]
[TD="class: data"]
CCM
[/TD]
[TD="class: datalabel2"]eMail[/TD]
[TD="class: data"]wngeleja@parliament.go.tz[/TD]
[TD="class: datalabel2"]Telephone[/TD]
[TD="class: data"]+255 754 710070[/TD]
[TD="class: datalabel2"]Address[/TD]
[TD="class: data"]PO Box 150, Sengerema[/TD]
[TD="class: datalabel2"]Notes[/TD]
[TD="class: data"] [/TD]
[TABLE="class: lastupdate"]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Huyo ndiye Ngeleja na professional yake, je kwanini JK anashindwa kumteua waziri mwenye professional ya MADINI AU UMEME ili
aendane na hii wizara?????