Wilbrod Slaa yupo Ifakara leo

Status
Not open for further replies.
cleophace mfumya tupe update za hapo morogoro kuhusu makamanda.
 
kinauche una genye nn? mm nimemtaja babu slaa wapi kwenye hii thread?hapa nilichangia habari ya kuweka picha.
 
Last edited by a moderator:
Hii nchi itakombolewa haraka sana kwa hawa mafisadi, maccm, wauza madawa ya kulevya,
kutoa uhalali wa wapigwe tuu tumechoka, wauaji kufyetulia wananchi risais bila sababu.











 
kaenda kutemebelea mashamba yake ay "mpunga" ?? coz huyu jamaa ni bepari wa kutupwa .
 
Watu wanashangaa Helkopta badala ya kusikiliza mkutano!!!!
 
Watu wanashangaa Helkopta badala ya kusikiliza mkutano!!!!
 
huyu jamaa anajua kupiga picha balaa yan umepga ground photo.saf sana mkuu
 
Si bora Dk Slaa anazungukia ndani ya nchi yake kuwaelimisha wa Tz kuliko mzee wa bagamy?Tuwe wazalendo kwa wale wanaosubutu hata kujitolea kutoa elimu ya uraia?Nchi imefika pabaya jmn amkeni watz.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…