Wakuu natafuta mwalimu wa kubadilishana nae idara sec. mimi nko wilaya ya Nyasa iko jiran na Mbinga nataka kwenda Njombe, Mfindi au Iringa phone no 0753925510 thx.
Baki Nyasa ndugu, kwani haina matatizo ya ulipaji fedha. Si umeona mmepewa wote mishahara na hela za kujikimu siku 7 siku mliyofika tu. Hakika hata madaraja yatapanda kwa uharaka.
Nataka niwe jran na nyumban Iringa! kwa huku nyasa nafundisha Kilumba sec. kata ya Kingerikiti uchumi wa huku wanategemea zaid kilimo cha kahawa, mahindi,maharage, ufuta n.k
Nataka niwe jran na nyumban Iringa! kwa huku nyasa nafundisha Kilumba sec. kata ya Kingerikiti uchumi wa huku wanategemea zaid kilimo cha kahawa, mahindi,maharage, ufuta n.k
Siondok huku kwa 7babu ya kutafuta eneo lenye uchumi mzur bz ata huku naweza fanya buznc vzur tu! nataka kurud home ili niwe jran na familia yangu na wanantegemea xana n ngumu kuiamisha familia yote toka Iringa had huku.
Wakuu natafuta mwalimu wa kubadilishana nae idara sec. mimi nko wilaya ya Nyasa iko jiran na Mbinga nataka kwenda Njombe, Mfindi au Iringa phone no 0753925510 thx.