Wilaya nzima (Bukoba Vijijini) Hakuna CHADEMA!

Wilaya nzima (Bukoba Vijijini) Hakuna CHADEMA!

Mbona hushangai kwa vijiji vya huko kutokuwa na mawasiliano ya simu? Hadi voda wakawakomboe. Hao ndio wahaya
 
kaka inaonekana ni kiasi gani una uelewa na uchunguzi wa uhakika,mie nilikuwa mtumishi wa halmashauri hiyo,naifahamu sana halmashauri hiyo mwanzo mwisho kuanzia kwa mw/kiti KATEME wote ni ccm viongozi wa chadema kama wamekosa kutengeneza work plan yao wapishe wengine wenye nia ya kukiendeleza chama waingie.
 
Mbona hushangai kwa
vijiji vya huko kutokuwa na mawasiliano ya simu? Hadi voda wakawakomboe.
Hao ndio wahaya
Hivi kukosekana mnara ya mawasiliano ni tatizo la wahaya? Au la Chadema? Kwanini lisaiwe la CCM inayotawala?
 
Kazi ya kukifanya chama chochote kifahamike kwenye jamii ni kazi ngumu san mbayo inahitaji uwajibikaji mkubwa,namini bado CDM wanaendelea kujipanga watfika tu huko Mkuu 2015 bado sana,na hasa ukizingatia kwamba hiki chama kwa sasa kiko mafuta mabaya na watza wanakikubali.
 
Kazi ya kukifanya chama chochote kifahamike kwenye jamii ni kazi ngumu san mbayo inahitaji uwajibikaji mkubwa,namini bado CDM wanaendelea kujipanga watfika tu huko Mkuu 2015 bado sana,na hasa ukizingatia kwamba hiki chama kwa sasa kiko mafuta mabaya na watza wanakikubali.

Mkuu cku hazigandi
 
Back
Top Bottom