Wilaya mpya ya Kisesa-Mwanza

Misungwi kunyang'anywa Usagara ni kuiua kabisa ila yote heri Usagara haipaswi kubaki Misungwi tena. Its mordenized than Misungwi itself.
Ni sawa tu na Magu kunyanganywa Kisesa . Inapoteza zaidi

Odhis *
 
Wilaya ya Magu imenyang'anywa chanzo cha mapato! Itapumulia mashine!
Kweli ndugu yangu.Kitendo tu cha kuiondoa Lamadi na kuipeleka mkoa mpya wa Simiyu kilikuwa ni mauaji ya kikatili kwa Wilaya ya Magu. Sasa hii ya kuinyofoa Kisesa kutoka Magu ndo balaa zaidi. Magu kwisha kabisa!
 
mmmh kayenze ipo igombe kutoka igombe mpaka misungwi unapita nyamagana mbn Nyamagana haijaguswa?
Kayenze ipo ilemela Ina njia mbili ya igombe haitumiki Sana badala yake inayotumika kwa Sana hivi Sasa ni njia ya kisesa ambapo wanapiti centre ya Sese ndio kayenze. Daladala ni elfu mbili tu kutoka stendi ya kisesa.

Mitano tena
 
Misungwi kunyang'anywa Usagara ni kuiua kabisa ila yote heri Usagara haipaswi kubaki Misungwi tena. Its mordenized than Misungwi itself.
Majiji makubwa Duniani ili yaendelee kukua ni lazima kumega maeneo ya jirani /suburban ili nayo yawe sehemu ya hadhi ya Majiji hayo.
Hii usaidia sana kuinua pato la Majiji husika na kuchagiza maendeleo kwenye maeneo mengi hasa yatokanayo na kushamiri kwa sekta za kukuza uchumi.
 
Makao Makuu yatakua Fera Patakapokua na Bandari ya SGR
 
Yaan mwisho wa wilaya ya kisesa unaishia igoma sehm moja wanaita ndama,kuelekea nyakato huko itakuwa nyamagamana
duuuh had Ilee bar ya city centre itakuwa ni ilemela siyo,mbona wamejimegea kwenye mapato
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…