William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,374
- Siamini anything that was said by Hosea, nothing serious kwa mtu aliyekua anaongea free akiamini kwamba anayoyasema ni siri, infact yanaonekana ni maneno ya ujanja ujanja wa kikundi flani na sio yake mwenyewe, kwa kifupi kwa maoni yangu ilikuwa danganya toto tu ya kujaribu kuwazuga hao wazungu, nothing serious hapo!
- Hawa Mafisadi they are very good at ujanja ujanja people, tunahitaji kuamka usingizini, look what they did to Dowans, hivi umeshasikia kwamba Tanesco ilienda huko kwenye kesi bila kuiarifu serikali the owner wa Tanesco, I mean wananchi tusipoamka na hawa watu we are finished hili taifa!
William.
- Hawa Mafisadi they are very good at ujanja ujanja people, tunahitaji kuamka usingizini, look what they did to Dowans, hivi umeshasikia kwamba Tanesco ilienda huko kwenye kesi bila kuiarifu serikali the owner wa Tanesco, I mean wananchi tusipoamka na hawa watu we are finished hili taifa!
William.