WikiLeaks: Lowassa's corrupt activities have been an open secret throughout Tanzania for many years

Mimi nimeisoma vizuri ripoti ya richmond na ukweli ni kwamba hakukuwa na kamati ya tanesco bali kulikuwa na kamati kuu ambayo mlikuwa na wajumbe toka tanesco, wizara ya nishati, mwanasheria mkuu, wataalam wa uchumi na pia kulikuwa na kamati ndogo ndogo ambazo zilikuwa ni za ufundi, sheria nk. kamati kuu ambayo ilikuwa chini ya waziri mkuu ndiyo iliyotoa mapendekezo ya majumuisho ambayo waziri mkuu ndiyo aliyoyawasilisha kwenye baraza la mawaziri. Hata baada ya serikali kuridhia hilo [baraza la mawaziri] wakati wa utekelezaji wa mradi huo kuna mapungufu yaliibuka ambayo yalimshtua WM na alimuarifu mkuu wa kambi juu ya anavyoona na hatua ambazo alitaka kuchukua dhidi ya mapungufu hayo. Kwa vile mkuu wa kambi alikuwa nje ya nchi, WM aliombwa avute subira hadi atakaporejea ili suala hili lijadiliwe kwenye baraza na ndipo hapo mandumila kuwili walipo leak mambo hayo na kufanywa kama kashfa inayomhusu WM.
 
unahangaika NDO MAANA yeye akuridhishwa na kampuni iyo kumbuka waziri hasaini mkataba ,waziri mkuu haingii kwenye gorvement negotiating team ..hawa ndo ushauri wao ulisikilizwa... yeye mpaka mwisho alianza kuitilia mashaka iyo kampuni hata membe unalijui vizuri hili swala.... sasa yeye hataki kuligawa taifa wala chama chake
 
hapa naona ujinga tu stori zile zile!!!! hakuna jipya?
JK anajua A to Z ya RICHMOND mtafutane!!!
Gazeti Mwananchi Leo Jun2
Lowassa: Nimechoka kuitwa fisadi
 
Mimi nimeisoma vizuri ripoti ya richmond na ukweli ni kwamba hakukuwa na kamati ya tanesco bali kulikuwa na kamati kuu ambayo mlikuwa na wajumbe toka tanesco, wizara ya nishati, mwanasheria mkuu, wataalam wa uchumi na pia kulikuwa na kamati ndogo ndogo ambazo zilikuwa ni za ufundi, sheria nk. kamati kuu ambayo ilikuwa chini ya waziri mkuu ndiyo iliyotoa mapendekezo ya majumuisho ambayo waziri mkuu ndiyo aliyoyawasilisha kwenye baraza la mawaziri. Hata baada ya serikali kuridhia hilo [baraza la mawaziri] wakati wa utekelezaji wa mradi huo kuna mapungufu yaliibuka ambayo yalimshtua WM na alimuarifu mkuu wa kambi juu ya anavyoona na hatua ambazo alitaka kuchukua dhidi ya mapungufu hayo. Kwa vile mkuu wa kambi alikuwa nje ya nchi, WM aliombwa avute subira hadi atakaporejea ili suala hili lijadiliwe kwenye baraza na ndipo hapo mandumila kuwili walipo leak mambo hayo na kufanywa kama kashfa inayomhusu WM.

UONGO.

Lowassa alishiriki kusaini mkataba wa Richmond wakati Raisi hayupo nchini,msipitoshe mambo.ripoti ya Richmond iko wazi na tuliijadili kwa mapana n marefu humu 2008.
Sababu kubwa ya Richmond kumuangukia Lowassa ni yeye kulazimisha msabaha,waziri mhusika kukiuka taratibu za mkataba kusimamiwa na katibu mkuu wa wizara.msabaha alitamka wazi yeye alitolewa kafara na Lowassa.

Danganya hao waliokuja JF mwezi mei.
 
unahangaika NDO MAANA yeye akuridhishwa na kampuni iyo kumbuka waziri hasaini mkataba ,waziri mkuu haingii kwenye gorvement negotiating team ..hawa ndo ushauri wao ulisikilizwa... yeye mpaka mwisho alianza kuitilia mashaka iyo kampuni hata membe unalijui vizuri hili swala.... sasa yeye hataki kuligawa taifa wala chama chake

Uongo mwengine huu,membe hakuwa foreign affairs 2006 wakati Lowassa anaboronga.
Lowassaalimshinikiza msabaha kukiuka taratibu ili Richmond wapewe mkataba.ilipokuja kuthibitika ni kampuni ya mfukoni,Lowassa huyu huyu akamtumia rafiki yake Karamagi kusaini mkataba wa Dowans hotelini London.sasa Karamagi ni mfadhili mkuu na mpambe mkuu wa Lowassa.
Unadhani watanzania wapuuzi kumuita huyu bwana mwizi ba fisadi?hakuna njia nyengine.
Amepata nafasi zaifi ya 1000 kuitetea kakaa kimya kwa kuwa ni mkosefu.
Anajidai nitasena ukweli mkinichagua,ili aje kuwaruka.mtu mwenyewe graduate wa sanaa huyu.
 
Uongo mwengine huu,membe hakuwa foreign affairs 2006 wakati Lowassa anaboronga.
Lowassaalimshinikiza msabaha kukiuka taratibu ili Richmond wapewe mkataba.ilipokuja kuthibitika ni kampuni ya mfukoni,Lowassa huyu huyu akamtumia rafiki yake Karamagi kusaini mkataba wa Dowans hotelini London.sasa Karamagi ni mfadhili mkuu na mpambe mkuu wa Lowassa.
Unadhani watanzania wapuuzi kumuita huyu bwana mwizi ba fisadi?hakuna njia nyengine.
Amepata nafasi zaifi ya 1000 kuitetea kakaa kimya kwa kuwa ni mkosefu.
Anajidai nitasena ukweli mkinichagua,ili aje kuwaruka.mtu mwenyewe graduate wa sanaa huyu.

Acha upu.mbavu wewe, unaweza ukanionesha wapi kwenye ripoti ya Richmond imeeleza Msabaha kulazimishwa na Lowassa? wapi kamtaja jina? na je maneno hayo kwa nini hakuyataja kwa kiapo kama ni kweli? tangu lini waziri mkuu akasaini mkataba? jitu jeupe upstairs afu linajifanya linajua, SHAME.
 
"kipi ambacho nilichofanya bila kukutaarifu mwenyekiti wangu?.......mbona munawaacha hawa vijana wadogo wanaendelea kunichafua majukwaani na hii habari ya richmond".........ndipo rais mstaafu benja akaingilia kati na kumwomba mzee el atulie na hiyo hoja iachwe.....
 
Membe ameingiaje hapa? Hebu fungua ubongo wako. Membe na yeye tutamchambua hapa hapa. Kwasasa anaye hatarisha usalama na Ustawi wa Tanzania kwa miaka 10 ijayo ni Lowassa. Na kwa kuwa Magazeti yamenunuliwa na hayafanyi uchambuzi yakinifu, tutasema tu Ukweli.


hauna ukweli unaoujua wewe.....ukweli mpka aukuandikkie baozi wa marekani?? si unayajua magazeti ya mengi ipelek hiyo news sasa.andika kila unachokijua au utaishia kukopi na kupaste......usiwe mtumwa wa kikoloni kimawazo....kama ni mzalendo kweli weka ripoti ya ya nchi yako sio ya wakoloni
 
Uongo mwengine huu,membe hakuwa foreign affairs 2006 wakati Lowassa anaboronga.
Lowassaalimshinikiza msabaha kukiuka taratibu ili Richmond wapewe mkataba.ilipokuja kuthibitika ni kampuni ya mfukoni,Lowassa huyu huyu akamtumia rafiki yake Karamagi kusaini mkataba wa Dowans hotelini London.sasa Karamagi ni mfadhili mkuu na mpambe mkuu wa Lowassa.
Unadhani watanzania wapuuzi kumuita huyu bwana mwizi ba fisadi?hakuna njia nyengine.
Amepata nafasi zaifi ya 1000 kuitetea kakaa kimya kwa kuwa ni mkosefu.


mkuu kimweri acha kukuRUPUKA kujua kitu sio lazima awe waziri wa mambo ya nje kwa kipindi icho.....
pia walioshauri wapewe mkataba ni gorvement negotiating team acha uongo na waziri mkuu hakuingia kwenye gorvement negotiating t... pia njo na video na huo mkataba aliosaini karamagi tukujue kweli kama wewe ni mkweli .. otherwise unakua mwongo mwongo
 
UONGO.

Lowassa alishiriki kusaini mkataba wa Richmond wakati Raisi hayupo nchini,msipitoshe mambo.ripoti ya Richmond iko wazi na tuliijadili kwa mapana n marefu humu 2008.
Sababu kubwa ya Richmond kumuangukia Lowassa ni yeye kulazimisha msabaha,waziri mhusika kukiuka taratibu za mkataba kusimamiwa na katibu mkuu wa wizara.msabaha alitamka wazi yeye alitolewa kafara na Lowassa.

Danganya hao waliokuja JF mwezi mei.

Ni maelezo gani ya Mwakyembe mnayoyasema juu ya Lowassa tofauti na haya hapa chini? nadhani Mwakyembe mwenyewe alikuwa wazi juu ya hili na next time usitufanye waTanzania wote wapumbavu, leteni huo ushahidi tutawaelewa.

Kutoka kwenye Hansard za Bunge, hii ni sehemu ya hotuba ya MHE. DR. HARRISON G. MWAKYEMBE – MWENYEKITI WA KAMATI TEULE YA RICHMOND kwenye MKUTANO WA KUMI - KIKAO CHA KUMI NA MOJA - TAREHE 15 FEBRUARI, 2008.
 

Attachments

  • 1435835668018.jpg
    1435835668018.jpg
    93.5 KB · Views: 130
Naamini wote mmechelewa na hii debate haina mashiko tena. Lowassa ndio jembe la kukivusha chama na na kuitoa nchi kwenye lindi la umasikini totoroooo, na kama mmelilijua hili basi anzisheni bunge lenu tuwasikilize kuliko kukopi upuuzi huo.
Hivi nyie kati yenu nani msafi? Naomba asimame na aseme yeye ni nani na yuko wapi kuliko kujificha kwenye mitandao ya kijamii na kuanza kutukana watu.
Lowassa ni msafi ndio maana umma wa Watanzania uko nyuma yake na rais wa tano ndiye yeye.
Mauchaufu yalianze enzi za mzee wa ruksa, Chavda alifanya nini? mnajifanya mmesahau, kipindi hicho Lowassa alikuwepo ndani ya serikali?
Obama kuja na kusifia mitambo ya symbion ni Lowassa alimpa rushwa?
Mikataba ya gesi, ufisadi wa sukari, mabehewa fake yote ni Lowassa? Mmekosa hoja ndio maana mnatangatanga na hamna sehemu ya kutokea kila sehemu kaziba Edward Lowassa. Ungwe ya lala salama imeingia mwanaume Edward anachukua nchi na mtabaki midomo wazi na mwisho wa siku na tarehe 2/07/2015 mtalala vitandani na drip za maji.
 
Watanzania gani hatutaki pamoja kundi lake ikulu nu mahali patakatifu
Utakatifu gani unaouamini wewe? au ndio kukopi semi na kuzileta humu.
Kama ni utakatifu je, waliopo sasa watakatifu? acheni upuuzi wenu, Lowassa amewapiga bao ndio maana mnaanghaika tu na vimaneno vya kukopi.
 
"kipi ambacho nilichofanya bila kukutaarifu mwenyekiti wangu?.......mbona munawaacha hawa vijana wadogo wanaendelea kunichafua majukwaani na hii habari ya richmond".........ndipo rais mstaafu benja akaingilia kati na kumwomba mzee el atulie na hiyo hoja iachwe.....

Edward Lowassa alitimiza dhana ya uwajibikaji kisiasa na hakuwa na kosa lolote na hadi sasa hana kosa lolote.
Mwakyembe, Sitta na kundi lao walipika ili kumharibia tu ndio maana sasa hivi wanataka kujikosha kwa kutumia mwamvuli wa bunge lkn Mungu mkubwa Lowassa wananchi wamemsimamia na kuona ule ulikuwa upuuzi tu na sasa wako nyuma yake.
Kama Lowassa angekwenda kui-challenge ile report mahakamani, mahakama bila kusita ingetoa hukumu in favour ya Lowassa kwa fact ya natural justice.
 
Ni maelezo gani ya Mwakyembe mnayoyasema juu ya Lowassa tofauti na haya hapa chini? nadhani Mwakyembe mwenyewe alikuwa wazi juu ya hili na next time usitufanye waTanzania wote wapumbavu, leteni huo ushahidi tutawaelewa.

Kutoka kwenye Hansard za Bunge, hii ni sehemu ya hotuba ya MHE. DR. HARRISON G. MWAKYEMBE – MWENYEKITI WA KAMATI TEULE YA RICHMOND kwenye MKUTANO WA KUMI - KIKAO CHA KUMI NA MOJA - TAREHE 15 FEBRUARI, 2008.

Kamuulize Karamagi, Mikataba ya Kuihamisha umiliki Richmond alisainia wapi?Msabaha maagizo ya kusaisni mkataba wa Richmond alipewa na nani?

narudia, Danganyeni wa juzi, sie wa mwaka 47, itakuwa ngumu. Sihitaji kuchambua Richmond, kwa kuwa tulipoteza muda wa kutosha kuichambua hiyo. kapekenyue makabrasha ya Richmond JF usome, tusipeane kazi za kipuuzi, silipwi na Lowassa kama baadhi ya watu.
 
Back
Top Bottom