Wiki hii historia mpya ya Tanzania inaandikwa?

Mtu wa Mungu

JF-Expert Member
Nov 9, 2010
444
19
Kweli kuishi kwingi ni kuona mengi!

1: Muhimu katika habari kubwa na tamu za leo Jumatatu Aprili 4, 2011 - Kumbe kikombe cha Babu wa Loliondo ni USHIRIKINA!!!!!!
2: Rais na waziri wake wa sheria watofautiana na muswada wa katiba wanaowasilisha bungeni wiki hii - kwa waliofuatilia kongamano la UDASA Jumamosi 2,Aprili 2011 watakumbuka cheche za akina Marando na Mtatiro, na Mbowe kurudi kwa umma; vigogo wa CCM waliingia mitini wakamsukumia masikini wa watu Prince Bagenda, ambaye naye kwa kuhofia cheche akaelekeza kwamba waTz wasidhani katiba nzuri itapatikana kirahisi (alinishangaza kama kweli hapa alikuwa anasemea CCM kweli?); kwa wadadisi linganisha habari za HABARILEO ya leo Jumatatu, Aprili 4, 2011;
3: Mjadala na hatimaye kura ya wabunge wiki hii kuhusu muswada wa katiba mpya kuamua kama ni-sisiemu na serikali yake kusalimu amri na kufuta mtazamo waliopeleka bungeni wa rais kuchukua nafasi ya waTz kutengeneza katiba mpya ama katiba mpya kupatikana kupitia pipoooos pawa-ambayo kwa mtindo uliosemwa kwenye kongamano la Jumamosi kuwa ni ule wa Tunisia na Misri, na sasa Libya!
4: Macho YOTE ya waTz kugeuzwa kutoka kwenye ushirikina Loliondo na kuelekezwa kwenye bunge Dodoma-patawaka moto!
5: Hatimaye Tz kubakia kuwa taifa la viongoizi wanaoongozwa na falsafa ya ushirikina-rais kulindwa na majini ya sheikh na sasa serikali yote imejimwaga katika kikombe cha mashetani Loliondo!
6: Bila shaka wanaJf nao hawatabaki nyuma!!
 
Fuvu la mtu wa kwanza aligunduliwa bonde la olduvai, bila shaka kama kuna kiama kitaanzia Tanzania.
 
Msitarajie miujiza toka kwenye Bunge la Anna Makinda. Anajua kafikaje pale kwenye Uspika.

Tz haiko hapa kuomba uungwana wa anne makinda, kama hawezi kufanya yanayoridhisha wananchi kiti kitakuwa KITIMOTO, wabongo wameamka.
 
naunga mkono hoja. Jana askofu kakobe katoa siku tano kilichoko loliondo kugeuka! naam wabunge 2one wapo kwa ajili ya chama au watanzania. makinda kuendeleza ubabe kuua hoja ya msingi ?? ? nadhani nina wazo mbadala kuhusu makinda. akiweka chama mbele kuliko utanzania then nitaandamana pekeangu mpaka dodoma kumpinga na kumtaka ajiuzulu. ukitaka kuniunga mkono then karibu. naunga mkono hoja. waheshimiwa jf.
 
Tz haiko hapa kuomba uungwana wa anne makinda, kama hawezi kufanya yanayoridhisha wananchi kiti kitakuwa KITIMOTO, wabongo wameamka.

Mamlaka na madaraka ya Spika ni makubwa sana ndani ya Bunge. Spika hana uhusiano wa aina yoyote na "wabongo" nje ya bunge.
 
Hakuna ulichoongea hapa naona umechanganya mambo, mara ushirikina mara bunge mara majini mara falsafa tushike lipi tuache lipi? weka mada moja moja utafeli mtihani pamoja na kuwa na uelewa.
 
confusion and contradiction of issues...that are not related...some comments on issues like loliondo are very subjective....
 
Mtoa hoja kaeleweka vizur sema nyie hamkaki kuelewa. simply kasema no of thing ar going 2 happen. sasa ni mnataka aongeze? kalagabaoo
 
Nakubaliana na mtoa hoja kwa jambo moja; wiki hii ni ya kunyoa au kusuka. Wanaharakati na viongozi wa vyama vya siasa vya upinzani wakiruhusu muswada huo upite kama ulivyo basi hata mimi nitajiunga na Membe kupigia debe uraia wa nchi mbili, maana uzalendo wangu kwa Tanzania utakuwa umeingia doa.
 
OOh God of Mercy and abundant Grace ni wakati huu ambapo wana wako watarudishiwa ufalme wako? Niko magotini naomba Mungu aharakishe hiyo historia wala asikawie ili tuingie katika hatua nyingine ya kulijenga taifa na kuacha malumbano yanayoendelea kulinajisi taifa!
 
Hakuna ulichoongea hapa naona umechanganya mambo, mara ushirikina mara bunge mara majini mara falsafa tushike lipi tuache lipi? weka mada moja moja utafeli mtihani pamoja na kuwa na uelewa.
Fikiri kwa ubongo wako na uchague lipi unataka kuacha!
 
umeelewa nini mara ushirikina mara historia mara bunge mra ana makinda kushindwa mara shehe yahaya labda arudie tutamwelewa
 
Kweli kuishi kwingi ni kuona mengi!

1: Muhimu katika habari kubwa na tamu za leo Jumatatu Aprili 4, 2011 - Kumbe kikombe cha Babu wa Loliondo ni USHIRIKINA!!!!!!
2: Rais na waziri wake wa sheria watofautiana na muswada wa katiba wanaowasilisha bungeni wiki hii - kwa waliofuatilia kongamano la UDASA Jumamosi 2,Aprili 2011 watakumbuka cheche za akina Marando na Mtatiro, na Mbowe kurudi kwa umma; vigogo wa CCM waliingia mitini wakamsukumia masikini wa watu Prince Bagenda, ambaye naye kwa kuhofia cheche akaelekeza kwamba waTz wasidhani katiba nzuri itapatikana kirahisi (alinishangaza kama kweli hapa alikuwa anasemea CCM kweli?); kwa wadadisi linganisha habari za HABARILEO ya leo Jumatatu, Aprili 4, 2011;
3: Mjadala na hatimaye kura ya wabunge wiki hii kuhusu muswada wa katiba mpya kuamua kama ni-sisiemu na serikali yake kusalimu amri na kufuta mtazamo waliopeleka bungeni wa rais kuchukua nafasi ya waTz kutengeneza katiba mpya ama katiba mpya kupatikana kupitia pipoooos pawa-ambayo kwa mtindo uliosemwa kwenye kongamano la Jumamosi kuwa ni ule wa Tunisia na Misri, na sasa Libya!
4: Macho YOTE ya waTz kugeuzwa kutoka kwenye ushirikina Loliondo na kuelekezwa kwenye bunge Dodoma-patawaka moto!
5: Hatimaye Tz kubakia kuwa taifa la viongoizi wanaoongozwa na falsafa ya ushirikina-rais kulindwa na majini ya sheikh na sasa serikali yote imejimwaga katika kikombe cha mashetani Loliondo!
6: Bila shaka wanaJf nao hawatabaki nyuma!!

Acha propaganda zako za kihuni,loliondo watu wanaenda kwa hiari yao na hakuna anaewalazimisha! Kama hutaki kwenda isiwe kero kwa watu wengine! Kwa vile wewe ni mganga wa jadi unataka watu waje kwako! Acha watu wafanye mambo yao kwa uhuru wao!
 
Umesahau moja kuu,
Wiki hii CDM iliendelea kusajili magarasa yaliyoachwa na CUF, safari wamemchukua Prof. Safari.
Kumbuka wameshawahi kuwasajili Shaibu Akwilombe, Wilfred Rwakatare nk. Wote hawa hawakusaidia kitu kwenye timu yao mpya!
 
Kweli kuishi kwingi ni kuona mengi!

1: Muhimu katika habari kubwa na tamu za leo Jumatatu Aprili 4, 2011 - Kumbe kikombe cha Babu wa Loliondo ni USHIRIKINA!!!!!!
2: Rais na waziri wake wa sheria watofautiana na muswada wa katiba wanaowasilisha bungeni wiki hii - kwa waliofuatilia kongamano la UDASA Jumamosi 2,Aprili 2011 watakumbuka cheche za akina Marando na Mtatiro, na Mbowe kurudi kwa umma; vigogo wa CCM waliingia mitini wakamsukumia masikini wa watu Prince Bagenda, ambaye naye kwa kuhofia cheche akaelekeza kwamba waTz wasidhani katiba nzuri itapatikana kirahisi (alinishangaza kama kweli hapa alikuwa anasemea CCM kweli?); kwa wadadisi linganisha habari za HABARILEO ya leo Jumatatu, Aprili 4, 2011;
3: Mjadala na hatimaye kura ya wabunge wiki hii kuhusu muswada wa katiba mpya kuamua kama ni-sisiemu na serikali yake kusalimu amri na kufuta mtazamo waliopeleka bungeni wa rais kuchukua nafasi ya waTz kutengeneza katiba mpya ama katiba mpya kupatikana kupitia pipoooos pawa-ambayo kwa mtindo uliosemwa kwenye kongamano la Jumamosi kuwa ni ule wa Tunisia na Misri, na sasa Libya!
4: Macho YOTE ya waTz kugeuzwa kutoka kwenye ushirikina Loliondo na kuelekezwa kwenye bunge Dodoma-patawaka moto!
5: Hatimaye Tz kubakia kuwa taifa la viongoizi wanaoongozwa na falsafa ya ushirikina-rais kulindwa na majini ya sheikh na sasa serikali yote imejimwaga katika kikombe cha mashetani Loliondo!
6: Bila shaka wanaJf nao hawatabaki nyuma!!

Umesahau:-

1. Marais Watarajiwa nao pia wametembelea Loliondo kupata kikombe. Wengine kwa siri na wengine wasiotaka unafiki wametangaza. Kwa hiyo Tanzania itaendelea kuongozwa na washirikina wanaoabudu mashetani hata baada ya CCM kuondoka madarakani
 
Umesahau moja kuu,
Wiki hii CDM iliendelea kusajili magarasa yaliyoachwa na CUF, safari wamemchukua Prof. Safari.
Kumbuka wameshawahi kuwasajili Shaibu Akwilombe, Wilfred Rwakatare nk. Wote hawa hawakusaidia kitu kwenye timu yao mpya!

Bweshu!!
 
Back
Top Bottom