michibo
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 2,212
- 3,656
Kwanini mnapenda kuabudu watu? Kila kitu Tundu Lissu yaani huwezi kwenda msalani bila Tundu Lissu? Hayo anayoyaongea si ndio kila siku mnayoyasea hapa JF na kila mahali? Nini kipya? Yale Yale ya kila siku.
Mara ICC Mara kwa Trump!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Unachokitafuta utakipata, subiri kulala na chatu.Katulia zake salasala. Maskin jamaa anauguza maumivu makali sana kwa kina Jackie Chen. Inauma sana mke kuchepuka na kubeba mimba. Balozi wetu ndiye mtanzania pekee mwenye kifua
Balozi wetu ndiye mtanzania pekee mwenye kifua
Baba ako eeKama kawaidaaa kama ngomaa kama dedeee, tumezoea kila wiki Baba anapiga show MUBADlSHARAAA kabisa. Leo ni Ijumaa KIMYAAAA hakuna MUBASHARA wowote.....
Japo Janaaa Kaka wa Jijiii, Ilikuwa ni Kumbukizi ya kuja kwake duniani....Haijakiiii wala nini......
Da ila Baba amefuruliza kweli.....toka Yia 2019 ianzee yaani full MAMUBASHARAA....dadadeekiii....kidogo tu MUBASHARAAAA.......
Kunani hukooooo??????
Mbona wiki hiii kimyaaaaaa...............?????
Hata mgwasi yule talk wake kimyaaaaaa........!!!
KUNANIIIIII.......????!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila balozi jembe kinoma.
Lakini hata yeye si anaugulia maumivu kwa cheupe wake?
Hahahaha aisee nimecheka sanaBalozi wetu alikuwa na guts, lakini it was far from an even playing field
Masingili against Tundu Lissu, Bobby Wine na Zungu moja lime specialize kwenye African Human Rights! Masilingi hajawahi kufanya free press interview hata siku moja maishani mwake...
Tundu akaanza kuchanika, Tanzania kuna political prisoners including chairman of opposition, Mzee Shaka akamuuliza Masilingi ya kweli haya?
Akasema FALSE ABSOLUTELY
Babu Shaka akamuuliza, so you mean
they are free?
Balozi wetu akasema NO, they are in RUMANDE...
hahahahaaaaaaa
Mtunzi wa movie katumbuliwa.. tunasubiri uteuzi..Kama kawaidaaa kama ngomaa kama dedeee, tumezoea kila wiki Baba anapiga show MUBADlSHARAAA kabisa. Leo ni Ijumaa KIMYAAAA hakuna MUBASHARA wowote.....
Japo Janaaa Kaka wa Jijiii, Ilikuwa ni Kumbukizi ya kuja kwake duniani....Haijakiiii wala nini......
Da ila Baba amefuruliza kweli.....toka Yia 2019 ianzee yaani full MAMUBASHARAA....dadadeekiii....kidogo tu MUBASHARAAAA.......
Kunani hukooooo??????
Mbona wiki hiii kimyaaaaaa...............?????
Hata mgwasi yule talk wake kimyaaaaaa........!!!
KUNANIIIIII.......????!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
😅😅😅Balozi wetu alikuwa na guts, lakini it was far from an even playing field
Masingili against Tundu Lissu, Bobby Wine na Zungu moja lime specialize kwenye African Human Rights! Masilingi hajawahi kufanya free press interview hata siku moja maishani mwake...
Tundu akaanza kuchanika, Tanzania kuna political prisoners including chairman of opposition, Mzee Shaka akamuuliza Masilingi ya kweli haya?
Akasema FALSE ABSOLUTELY
Babu Shaka akamuuliza, so you mean
they are free?
Balozi wetu akasema NO, they are in RUMANDE...
hahahahaaaaaaa
UnakichefuchefuuuuKwanini mnapenda kuabudu watu? Kila kitu Tundu Lissu yaani huwezi kwenda msalani bila Tundu Lissu? Hayo anayoyaongea si ndio kila siku mnayoyasea hapa JF na kila mahali? Nini kipya? Yale Yale ya kila siku.
Mara ICC Mara kwa Trump!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
ha haha ha haha hahaaaaaaaaaJiwe bwana alishazoea akisema kitu anashangiliwa Sasa juzi juzi dingilai akiwa na wale watu wa mhimili mwingine alikuwa anaongea akataka kuchekesha watu wale wakamdeshi. Alipogeuza shingo kuangalia response akakuta wengine wamelala mdomo wazi huku wengine wakimkodolea ikabidi apotezee ile kushangilia imekwisha mzeee baba
Sent using Jamii Forums mobile app
Huenda yuko kwenye dose ya mwezi huuKama kawaidaaa kama ngomaa kama dedeee, tumezoea kila wiki Baba anapiga show MUBADlSHARAAA kabisa. Leo ni Ijumaa KIMYAAAA hakuna MUBASHARA wowote.....
Japo Janaaa Kaka wa Jijiii, Ilikuwa ni Kumbukizi ya kuja kwake duniani....Haijakiiii wala nini......
Da ila Baba amefuruliza kweli.....toka Yia 2019 ianzee yaani full MAMUBASHARAA....dadadeekiii....kidogo tu MUBASHARAAAA.......
Kunani hukooooo??????
Mbona wiki hiii kimyaaaaaa...............?????
Hata mgwasi yule talk wake kimyaaaaaa........!!!
KUNANIIIIII.......????!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app