BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,160
wanasema tenda wema nenda zako usingoje shukrani
undugu kazi sana...........mimi binafsi nilisadia ndugu wengi sana na leo wana nafasi zao....sasa hivi wakija dar wanafikia hotelini kwangu hawafiki utasikia tu fulani alikuja dar, hakufika kwako?....mimi huwa sijali na nilipokuwa nawasaidia sikutegemea malio yoyote......mke wangu alikuwa na moyo kama wa huyu mleta mada hapa alikuwa anaumia kweli kuona jamaa hawafiki nyumbani...nikamwambia waache tu maana geti liko wazi wanakaribishwa ila kwa kweli inaudhi kiasi flani......
huyu wifi yako katika maisha yake hakutegema kupata kazi kama hiyo...kwa kifupi hana tabia nzuri hasa hiyo ya kukutupia bia moja moja.....we endelea na kazi zako dada yangu achana nae......