Kyawanjubu
JF-Expert Member
- May 13, 2017
- 2,453
- 2,205
Wife amefuma simu yangu na kukuta SMS nilizokua nachat na mchepuko tukipanga kwenda kula mzigo na ahadi nyingi za uongo na kweli maana ndo ilikua mara ya kwanza basi Wife amechukua namba ya uyo mtoto na kumtukana sana na kumtisha kwamba atamloga timbwili la Wife nimelimaliza japo haikuwa kazi ndogo sasa siwezi kubali kuacha uyu mtoto mzuri mweusi tatizo ni vile vitisho mtoto hataki kunielewa maana alikua hajui kama nina mke naomba ushauri nifanyeje nimpate tena
Post sent using JamiiForums mobile app
Mi nadhani ungeomba ushauri kwa mkeo anaweza kukushauri namna nzuri ya kumpata huyo dem ukagonge.
Asante kwa kunipa moyo maana natesekaInasikitisha sana.Ngoja waje.
Post sent using JamiiForums mobile app
Hakuna mwanaume asiye na mchepukoBaki njia kuu
Achana na mchepuko
Tafuta mchepuko mwingineHakuna mwanaume asiye na mchepuko
Post sent using JamiiForums mobile app
Namna ya kumlainisha tena uyu mtoto maana hataki tena kunisikia kashakula vi 10000 vyangu na sijagusa PapuchiSijui hata unataka ushauri wa aina gani
Post sent using JamiiForums mobile app
Pole zakoMi mwenyewe juz nimedakwa kama wewe. Mimekoma maana sio kwa kujitetea kule.
Post sent using JamiiForums mobile app
Namna ya kumlainisha tena uyu mtoto maana hataki tena kunisikia kashakula vi 10000 vyangu na sijagusa Papuchi
Post sent using JamiiForums mobile app
Nishasahau ila usiombee maana mtu analala na nguo saba upande haguswi, ukiomba tu unaambiwa ' akakupe huyo mi nimezeeka'Pole zako
Post sent using JamiiForums mobile app
Hana lolote ni mkwara tuHa ha ha haaaa....mkeo mchawi/mshirikina ole wako ukatie nje lazima mgandiane
Post sent using JamiiForums mobile app