Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,320
Sio kwamba nina nia mbaya na ndoa za watu, bali baadhi ya wanaume sometimes wanapenda wawe out separately, ama na friends au kwa raha zao lakini bila kuharibu upendo na umuhimu wa mke na familia kwa ujumla.
Tatizo ni kuwa baadhi ya wanawake wanakaba sana, yaani ukitoka kivyako ni hadi ujibu maswali, na ukijifanya kichwa ngumu tena ujue mnuno kwa kwenda mbele. Jamaa yangu alikuwa anatumia kisingizio kuwa anakwenda kuangalia mech (hom hawakuwa na DSTV), of coz kweli alikuwa anakwenda kuchek mech, lakini sometimes hata akiwa na mitikas mingine hicho ndo kilikuwa kisingizio, sometime hadi usiku (sio usiku saana, akizidisha saa nne).
Baadae waifu wake kaamua kuzibiti na hilo kwa kumshinikiza jamaa anunue DSTV dish, ili wawe wanachekia hom wote, hasa mech za jioni sana.
Jamaa alinunua, na akabanwa sawasawa. Baadae alikuja kugundua ujanja, kwani alishtukia waif na watoto pale wanapenda vitu vingine kama tamthilia, na vipindi, sijui bongo star search, tusker project, maigizo n.k. Kwa hiyo alichofanya mshakji ni kuwa all the time akijua wanachek wanachopenda, anakwenda sebuleni, anachun, superspot au channel nyingine ya michezo hata kama ni recorded. Pia akawa anashangilia kwa midadi na makelele. Haikupita mda, waif, kwa upole akawa anasema, baba nanihii, kama vipi bas tuachie we nenda kachek baa. Maana kwanza sisi tunakosa raha, alaf we na makelele yako yanaamsha mtoto, tena unasema na matusi utaniharibia watoto (jamaa sometimes katika kushabikia unakuta anapayuka ...'HUYU MSHENZI KABISA, UTAPIGAJE MPIRA VILE'... n.k)
Kwa hiyo from there akawin, yani akitaka kutoka tu, 'naenda kuchek mech, itaisha kama saa tatu na nusu'... Badae hny...
Tatizo ni kuwa baadhi ya wanawake wanakaba sana, yaani ukitoka kivyako ni hadi ujibu maswali, na ukijifanya kichwa ngumu tena ujue mnuno kwa kwenda mbele. Jamaa yangu alikuwa anatumia kisingizio kuwa anakwenda kuangalia mech (hom hawakuwa na DSTV), of coz kweli alikuwa anakwenda kuchek mech, lakini sometimes hata akiwa na mitikas mingine hicho ndo kilikuwa kisingizio, sometime hadi usiku (sio usiku saana, akizidisha saa nne).
Baadae waifu wake kaamua kuzibiti na hilo kwa kumshinikiza jamaa anunue DSTV dish, ili wawe wanachekia hom wote, hasa mech za jioni sana.
Jamaa alinunua, na akabanwa sawasawa. Baadae alikuja kugundua ujanja, kwani alishtukia waif na watoto pale wanapenda vitu vingine kama tamthilia, na vipindi, sijui bongo star search, tusker project, maigizo n.k. Kwa hiyo alichofanya mshakji ni kuwa all the time akijua wanachek wanachopenda, anakwenda sebuleni, anachun, superspot au channel nyingine ya michezo hata kama ni recorded. Pia akawa anashangilia kwa midadi na makelele. Haikupita mda, waif, kwa upole akawa anasema, baba nanihii, kama vipi bas tuachie we nenda kachek baa. Maana kwanza sisi tunakosa raha, alaf we na makelele yako yanaamsha mtoto, tena unasema na matusi utaniharibia watoto (jamaa sometimes katika kushabikia unakuta anapayuka ...'HUYU MSHENZI KABISA, UTAPIGAJE MPIRA VILE'... n.k)
Kwa hiyo from there akawin, yani akitaka kutoka tu, 'naenda kuchek mech, itaisha kama saa tatu na nusu'... Badae hny...