This is a true story...
Mwaka mmoja baada ya myfriend kupata 1st degree alioa na mwaka mmoja baadae alirudi chuo kupiga masters. At the same year wife wake aliregister for bachelor at the same faculty. Mwanaume alielewana na dean wa faculty anayosoma na one day alimtambulisha mywaif wake kwake walipokutana barabarani. Muda mfupi baadae dean alianza kufundisha first yrs, darasa analosoma yule waif. Hapo ndo mambo yalipoanza; dean akaanza kumtaka waif wa mwanafunzi wake (wa masters). Waif inasemekana kakataa na kuona zee halielewi kamtonya mumewe.
Mwanaume kaamua kuwa "muungwana" na kumuambia waif amkomalie, asimpe na tena amwambie kuwa ameshamsema kwa mumewe. Dean hajaelewa, akaendelea na usumbufu. Mwenye mke kaamua kuwa anachukua simu ya mkewe pale dean anpoanza ku-sms anajifanya ndo mke anamtukana na kumpaka dean ile mbaya lakini dean haelewi anabembeleza tu.
Dean anaamua kutumia chance ya m'mke kwenda field practical Arusha, kajipangia kwenda kusupervise huko ili anase ka-prey kake. Kwa bahati Dean anakosea mahesabu by the time anafika AR m'mke yuko Moshi, wanapowasiliana dean kamconvince kwa kila namna aende AR. M'mke anajifanya kakubali, ataenda next day kumbe kapanda gari kurudi nyumbani ambako anampa husband wake cm na kumuonyesha msg zote. This time jamaa akitumia cm ya mkewe anamzuga dean kuwa ndo anakuja AR, amekubali na anamuuliza wakutane hotel gani. Dean anafurahi anamwaga ma-msg ya kimahaba ambayo jamaa anaamua kutumia kama ushahidi. Anaamua kupeleka mashtaka kwa mkuu wa chuo (DVC) kushtaki dean na anamuonyesha msg zote.
Oooooooh, kumbe DVC nae walewale! Kesi ya fisi kula mbuzi anapelekewa Chui!!!!
Take care. Inaweza mtokea mwanaJF yeyote humu na pengine hatua za kuchukua zingeweza kuwa tofauti sana na huyu myfriend...
Mwaka mmoja baada ya myfriend kupata 1st degree alioa na mwaka mmoja baadae alirudi chuo kupiga masters. At the same year wife wake aliregister for bachelor at the same faculty. Mwanaume alielewana na dean wa faculty anayosoma na one day alimtambulisha mywaif wake kwake walipokutana barabarani. Muda mfupi baadae dean alianza kufundisha first yrs, darasa analosoma yule waif. Hapo ndo mambo yalipoanza; dean akaanza kumtaka waif wa mwanafunzi wake (wa masters). Waif inasemekana kakataa na kuona zee halielewi kamtonya mumewe.
Mwanaume kaamua kuwa "muungwana" na kumuambia waif amkomalie, asimpe na tena amwambie kuwa ameshamsema kwa mumewe. Dean hajaelewa, akaendelea na usumbufu. Mwenye mke kaamua kuwa anachukua simu ya mkewe pale dean anpoanza ku-sms anajifanya ndo mke anamtukana na kumpaka dean ile mbaya lakini dean haelewi anabembeleza tu.
Dean anaamua kutumia chance ya m'mke kwenda field practical Arusha, kajipangia kwenda kusupervise huko ili anase ka-prey kake. Kwa bahati Dean anakosea mahesabu by the time anafika AR m'mke yuko Moshi, wanapowasiliana dean kamconvince kwa kila namna aende AR. M'mke anajifanya kakubali, ataenda next day kumbe kapanda gari kurudi nyumbani ambako anampa husband wake cm na kumuonyesha msg zote. This time jamaa akitumia cm ya mkewe anamzuga dean kuwa ndo anakuja AR, amekubali na anamuuliza wakutane hotel gani. Dean anafurahi anamwaga ma-msg ya kimahaba ambayo jamaa anaamua kutumia kama ushahidi. Anaamua kupeleka mashtaka kwa mkuu wa chuo (DVC) kushtaki dean na anamuonyesha msg zote.
Oooooooh, kumbe DVC nae walewale! Kesi ya fisi kula mbuzi anapelekewa Chui!!!!
Take care. Inaweza mtokea mwanaJF yeyote humu na pengine hatua za kuchukua zingeweza kuwa tofauti sana na huyu myfriend...