Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
Hivi huwa mnajiuliza nadharia na hili neno WHY...WHY kwanini? hebu tumieni kamuda kadogo kutumia hii nadharia WHY kujiuliza....jiulizeni WHY? kuna watu kibao wamejiuliza Newton asked himself WHY,Einsten asked him self WHY....take your time folks insteady ya kwenda bar na kubishania Man U na Arsenal asked urself WHY......