Why UKAWA will loose the 2015 Election

Am so astonished with such kind of poor analysis..... It sounds crazy comparing Kenyan politics with our own...

I thank you for the courage of posting your thread. But for your information Zitto is totally nothing in our politics....
He is very much closer to his political death!!

Only the clueless people out there will support your inferior theory!!




KAKA JP OMUGA,kwenye hiyo Red jaribu kuwa mhalisia kidogo usilete unazi katika vitu vya msingi.Only a fool will underestimate Zitto in Tanzanian Politics
 
Mbona unaanza na kuchimba biti watu hapa??

Kuwakwako member toka mwaka 2007 kinatusaidia nini sisi hapa? Jenga hoja yako bila kutoa vitisho utaeleweka tu, huna haja ya kutengeneza baunsa kwa vitisho vyako hapa... alalaaaaah..!!!! Ukiongea hoja yenye mantiki itajadiliwa hoja, ukiandika upuuzi hapa utajadiriwa upuuzi wako..!! hatuna haja ya kujua umejiunga lini Jf. Na huu ndio uzuri na changamoto ya Jf ya sasa.!!

Back to the topic.

Eti unasema Chadema pekee wana kura 2ml?? Na Zitto pekee ana kura 1.5ml...!!! We jamaa kunasehemu umeamkia kweli si bure.. Hivi Unajua idadi ya wanachama wa Chadema nchi nzima?? Yaani kwa hoja yako unataka kusema kuna watu zaidi ya Milioni moja nukta tano, wameondoka na Zitto kwenda Act?? Jitafakari upya kaka..!!! Hii ni 2015 wala si 2010,2005 or 2000/1995...!!!

Binafsi mimi sina tatizo na Zitto, nunamuunga mkono tangu zamani, ila ninakuhakikishia pindi akisimama Zitto kugombea Urais Sambamba na Mgombea yeyote wa Chadema/UKAWA, Zitto aisahau kura yangu. Kumuunga kwangu mkono Zitto ni ktk Ubunge Yaah namuhitaji Bungeni kwaajili ya kuongeza nguvu ya upinzani Bungeni maana naye anajitanabaisha kwamba ni mpinzani. Yes hili nitalipigania kwa nguvu zangu zote hata kwa maombi.

Halafu tambua, ujanja wa Kenyatta Uhuru ndio uliopelekea yeye kuungana na Ruto pale Kenya. Kabila la Ruto ndilo lililompa u-Vice President pale Kenya na si vinginevyo..!!!

Kenyatta baada ya kutambua nguvu za kabila lake na nguvu za Kabila la William Ruto ndio akaamua kuomba kuungana, maana kwa siasa za ukabila za Kenya Kenyatta asingepata chochote kwenye uchaguzi ule ,zaidi angemtengenezea njia rahisi ya kuingia ikulu bwana Odinga. Sisi hapa Tanzania hatuna siasa za ukabila ile sema siasa za Udini zinaanza kutuvamia taratibu bila kujijua (kilaaniwe chama kilichopo madarakani) Lakini hata tukija kwenye hizo siasa za udini UKAWA imekuwa tumaini la Wananchi kwasababu ya hizo siasa za udini, (Sote tunatambua namna ccm walivyovivumisha vyama viwili Cdm na Cuf) Na hapa ndipo ninapikushangaa unapodai ati ni heri kwa Chadema kuomba kuungana na Zitto kuliko kuomba kuungana na Lipumba (Cuf) nadhani mkuu umeamua kufuraisha baraza hapa.!!!

Hivi Lipumba kwa siasa zetu hapa Tanzania hana impact yoyote isipkuwa Zitto..!!!! Jamani hata kama tunawajenga watu kwa malango wa nyuma tijitafakari maana tunaweza kuwa tunawabomoa kwa mlango na lengo lilelile tulilokuwa tunadhani tunawajenga.

Khaaaaaaaa....!!!!!

BACK TANGANYIKA
 

Lipumba hana mvuto wa kisiasa. Ameshagombea miaka yote hiyo na hakuna lolote. Halafu ilishasemwa kwamba cuf ni ccm b. Sasa nisichoelewa hata mimi ni kwanini cuf wamegeuka wasafi sasa hivi mbele ya macho ya chadema.
 

I still find alot of similarities among the two countries, there is nothing crazy looking at the trend from your neighbor. Zitto is no longer relevant for chadema, but in TZ politics especially the coming election, he is still very relevant. I am a die hard supporter of Tanzania and democracy.

I am not seeking for anybody's support for anything, I am looking for other sober analyst who can analyze much better than what i think ili nijifunze.

RELAX YOUR MIND AND ALLOW DISCUSSIONS TO EDUCATE YOURSELF EVEN MORE.
 

Kujiridhisha na hiyo red mark hapo juzi niliamua kupita kijiweni kwa madereva bodaboda kupiga nao story mbili tatu baada ya kumaliza shughuli zangu. Nikawagusia hilo swala la Zitto na ACT, nilichojibiwa na wale jamaa kilinipa matumaini kwamba pamoja na serekasi zote hizi bado wapiga kura muhimu wa mwaka huu (vijana) bado wako na UKAWA regardless ni nani atasimamishwa kwenye ile post ya Urais..

After saying that hata unaweza ukaendelea na serekasi zako...
 

Mkuu kuna utofauti mkubwa sana kati ya Chaguzi za serikali za mtaa na uchaguzi mkuu. Kwakuzingatia kwa maamuzi ya kufukuzwa Zito yamekuja baadua ya kumfukuza/kujiondoa. Kwa sasa kumbuka Zito anasimama kwa Nguvu mpya na Chama kipya chenye sura ya ujana, ambayo ndio gharama kubwa itakayo lipia chadema
 
Una akili sana bro, gooder kama sio better analysis, hao wengine naona povu tu na ushabiki ndio umewajaa bila ya hoja thabiti
 
Mkuu Mtoa mada leo umewakamata Bavicha,wamezoea Blaa blaa tu na kupiga kelele za ushabiki,leo yanahitajika maelezo ya msingi yenye kuleta sensible analysis wamekimbia waliopo wanaishia tu ooh ACT wewe,Juha etc,Bavicha at their best.
 
Swali jepesi tu kwako...

Je Zitto ana kigezo cha umri kumruhusu kuwa mgombea Urais 2015?

Hivi umri wa makamu wa Rais nao ni 40?Inabidi niitafute katiba ya zamani tena sikusoma hapa!
 

Watu wa ACT mnajua kuandika mngekuwa waaminifu kama mnavyooangaika kupangilia maandishi YENU tungefika mbali
 
Kawe,Ubungo,Iringa mjini,Rukwa na mengineyo

Haya bwana kwahiyo hao wengine wa chadema ikiwemo Slaa mwenyewe hakufanya campaign huko? Halafu bado haujajibu swali langu kwanini kwenye jimbo lake la zamani (Kigoma Kaskazini) Chadema walishindwa uraisi ? au ndio hakufanya campaign huko
 
Hivi nani kawadanganya zitto ananguvu sana Kigoma? mbona mnajitekenya na kucheka wenyewe.Ni rahic zitto kugombea ubunge twitter au facebook na kushinda kuliko kuwa mshindi wa pili kwenye jimbo la kigoma mjini.UKAWA hawamuitaji kabisa zitto wakimuunganisha watampa kibuli.alafu Kitila,na zitto na mwigamba acheni kutujazia thread na majina yenu fake mkifanya analysisi zisizo za kweli,mjipange muache siasa za chuki
 

mkuu uchaguzi wa serikali za mtaa ulihusu nchi nzima, na ukawa walijitahidi kuweka wagombea karibu nchi nzima achilia mbali michezo waliocheza chama tawala kuwaengua wagombea wao, huwezi dharau uchaguzi uliohusu nchi nzima na ukawa kufanya vizuri kwa sababu tu ya kumtetea na kumjenga zitto, by the way rutto unaemlinganisha zitto ni presedential material

alafu sijui unajua kuwa zitto 2010 hakuipigia kampeni cdm kigoma badala yake aliwasaidia kufulila na wenzake

mtamlinganisha sana mtu wenu na wanasiasa wa africa lakini haitasaidia, zitto anatakiwa ajirekebishe atazeeka vibaya, we ona mambo yote aliyokuwa anayapiga vita cdm ndio kwanza yeye ndio kayafanya huko act, katiba imerebishwa ndani ya siku saba kwa sababu ya zitto

mrema na zitto nani alikuwa maarufu?
 
RUZUKU za kampeni siku zote uleta matatizo kwenye Upinzani Tanzania. Hizo ndo tamaa ninazozizungumzia mimi.

mkuu kwa hiyo una maanisha zitto akiingizwa ukawa awe running mate wa lipumba/slaa kama ulivyoaema huko nyuma ruzuku za kampeni hazitaleta matatizo
 
kakingereza ka iddamin dada
 

act watamsimamisha nani? mkumbo? zitto hana vigezo kulingana na katiba
 
Mkuu Mtoa mada leo umewakamata Bavicha,wamezoea Blaa blaa tu na kupiga kelele za ushabiki,leo yanahitajika maelezo ya msingi yenye kuleta sensible analysis wamekimbia waliopo wanaishia tu ooh ACT wewe,Juha etc,Bavicha at their best.

Hamna kitu hapo,hata mbumbumbu wa mwisho darasani atagundua emptiness katika analysis ya jamaa.hivi hiyo idadi ya wafuasi milioni 1.5 ya Zitto aliipata wapi?atupe source ya hiyo data zake.
Pia amechemsha kulinganisha siasa za Kenya na za Tanzania, zipo tofauti kabisa.turufu pekee ya Zitto ni kwa Waislamu lakini pia hana lake kwasababu hana historia ya kuwapigania Waislamu.Vijana nao hawana imani sana na Zitto, walimkubali kipindi kile,now it's no more.
 
You don,t have to believe anything ndugu. Believe in yourself

As per what is written as title of your topic which reads: Why UKAWA will loose the 2015 Election is where I am asking you to substantiate your statement.


Again and again Why should we believe on what you are telling us?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…