why so many terrorist have engineering degrees?

Unajua mhandisi anaweza kuwa mhasibu, mwanasheria, mwandishi wa habari, mkuu wa mkoa, refarii, jenerali wa jeshi, lakini hao wote hawawezi kuwa wahandisi, labda wapate kibali toka kwa Mungu! Unafanya mchezo na makalkulesheni?

Refer on my signature (down here) for the conclusion on your above observation!:D
 
kazi unayoifanya bht INJINIA anakuwa trained in one hour,ANAKUFUKUZISHA KAZI!kazi yangu mimi wewe HATA YESU AKIRUDI HAPA,HUTATHUBUTU.....
Hapa kazini niliwahi kufanya kazi za human resources baada ya training ya masaa 6! Afu nikawa boadi kweli manake hazikuwa zikinipa chalenji! Ni ripitisheni tu! Unafanya kazi hiyohiyoooooo mpaka mwaka unakatika!
 
Injia are creators after God!

Osama was civil engineer


at a glance

Herbert Hoover-USA 31st president was Mining/civil engineer
 
Hapa kazini niliwahi kufanya kazi za human resources baada ya training ya masaa 6! Afu nikawa boadi kweli manake hazikuwa zikinipa chalenji! Ni ripitisheni tu! Unafanya kazi hiyohiyoooooo mpaka mwaka unakatika!
mi hizo kazi sitaweza,bora nikae baa nakula bia tu!.......
 
why so many terrorist have engineering degrees?
Mtengenezaji yeyote anajua pia udhaifu wa alichotengeneza, so inakuwa rahisi kwake kuharibu. Ningemwaga data hapa ila naogopa kutembelewa!
 
Mtengenezaji yeyote anajua pia udhaifu wa alichotengeneza, so inakuwa rahisi kwake kuharibu. Ningemwaga data hapa ila naogopa kutembelewa!

Hahaha! Usiogope! Hapa tunajadili tu! Mwaga mkuu! Tunazisubiri!
 
kazi unayoifanya bahati INJINIA anakuwa trained in one hour,ANAKUFUKUZISHA KAZI!kazi yangu mimi wewe HATA YESU AKIRUDI HAPA,HUTATHUBUTU.....

heeee hapo kwenye bold mpwa vipi tena maana nacheka mwenyewe sasa!!!

mpwa kazi yangu ya kukaanga viazi mi nakubali kila mtu anaweza hata kama hana hobi...labda kama hana tumbo tu
 
heeee hapo kwenye bold mpwa vipi tena maana nacheka mwenyewe sasa!!!

mpwa kazi yangu ya kukaanga viazi mi nakubali kila mtu anaweza hata kama hana hobi...labda kama hana tumbo tu
Hehehe! Engineers at work! Wanafanya upembuzi yakinifu! Hata mimi nimefanikiwa kucheka kiduchu!
 
Back
Top Bottom