Why should I get married?


I do agree with you hundred percent inakuja automatic kabisa hasa mkishare common interests.
 
Ukinogewa utaomba umiliki wa hiyo Joystick haraka sana...labda bado hujampata mnogeshaji

Wanogeshaji ni wengi lakini bado sijapata urge ya ndoa,naelewa ni kitu muhimu sana kama nilivyosema hapo mwanzo....lakini kama hakuna upendo ni kazi bure
 

Hivi kumbe mkuu una Ages za kutosha???
 
Natamani sana kuoa ili niwe na familia kwenye ndoa,,na nikisha oa nataman wanawake wote niwaone wa kawaida tu hata km niwazur kias gan ili nisiharbu ndoa yangu,,siunajua ukiwa kijana kila mwanamke anakuvutia kwa namna yake

Sasa inabidi umwombe Mwenyenzi Mungu akupe mke mwenye sifa unazotaka ikiwapo Hofu ya Mungu.
 
Ntaolewa sababu nampenda hio ndio sababu kuu
Mengine kama kuwa mmiliki halali wa mboo etc etc ni minor lakini muhimu
Mmiliki halali wa nini?? Nasty Brenda. Tell me, is your baby Sis nasty as well?
 
You old man, and what exactly do you want from her baby sis? Hope you haven't forgotten about this granny's games. .. don't try to fight your master at her own game.
Hahaha. I'm only asking for our grandson. Why do you like to embarrass me woman, all these years and you still doubt me?
 
Hahaha. I'm only asking for our grandson. Why do you like to embarrass me woman, all these years and you still doubt me?

No wonder you are a man...putting blames on me eeh. Who embarrass who? You just don't know how much you have humiliated me in front of all these folks by chasing after small girls.... I'll be waiting for you
 
Sijaolewa na ni bado saaaana! Ila mda ukifika ntakwambia.
 
No wonder you are a man...putting blames on me eeh. Who embarrass who? You just don't know how much you have humiliated me in front of all these folks by chasing after small girls.... I'll be waiting for you
You're too old to be jealousy, woman. What business do you have in these whatever networks anyway? Aren't these things supposed to be for young girls and men?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…