Mimi nimeshaoa. Nilioa kwa sababu enzi yetu,kijana akishafika umri wa kujitegemea, wazee wetu walikuwa wanatafuta binti mwenye maadili kutoka familia nzuri, na unaozeshwa.
Bahati nzuri kwetu ni kuwa, nyakati zetu vishawishi havikuwa vingi kama mnavyokumbana navyo vijana wa sasa. Na maadili tulikuwa nayo. Tumedumu ndoani kwa miaka 35 sasa.
Haha. It's on the house.i didn't buy this!!!
Na mimi nitaoa kwa sababu napenda kuwa na familia...huyo mtu sahihi anaweza kuwa mimi ili usife single...
Hahaha. Alright, whenever you're ready to.nor will i take it for free
Mimi nimeshaoa. Nilioa kwa sababu enzi yetu,kijana akishafika umri wa kujitegemea, wazee wetu walikuwa wanatafuta binti mwenye maadili kutoka familia nzuri, na unaozeshwa.
Bahati nzuri kwetu ni kuwa, nyakati zetu vishawishi havikuwa vingi kama mnavyokumbana navyo vijana wa sasa. Na maadili tulikuwa nayo. Tumedumu ndoani kwa miaka 35 sasa.
Ni kweli kabisa kijana. Wengi humu ni sawa na wajukuu kwangu.
Ukinogewa utaomba umiliki wa hiyo Joystick haraka sana...labda bado hujampata mnogeshajiNtaolewa sababu nampenda hio ndio sababu kuu
Mengine kama kuwa mmiliki halali wa mboo etc etc ni minor lakini muhimu
Marriage ni kama crush tu...You meet a person,with all the necessary ingredients(as per your standards),by accident in most cases..and above all you find a striking balance in everything between you(you and him)...with the perfect chemistry!Mnajikuta tu hamchokani,everyone enjoy the other person company,always when you are together,you feel out-of-this world literary-very happy,you find that he shares the same hobbies,same world views the same life philosophy... and then BANG!mnajikuta tu mipango ya ndoa inaanza!Nitaolewa nikijisikia Niko tayari nimejiandaa kiakili kimwili na kiroho pia atakayekua size yangu na kukidhi vigezo kwa sasa sina hamu kabisa na sijisikii
Nitaolewa nikijisikia Niko tayari nimejiandaa kiakili kimwili na kiroho pia atakayekua size yangu na kukidhi vigezo kwa sasa sina hamu kabisa na sijisikii
Hata kujiskia!!...bado unakula ujana au !!...