Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Nimepitia hii makal na nikaona nisiwe mchoyo lol...........................jisomee kama una muda na kama huna usijali nitatoa ufupisho wake hapo chini................
Kwa akina dada sababu ya kuuza uchi wao ni pamoja na...........................
1) malezi mabovu wakiwa wadogo.......wengi utakuta wanatoka kwenye familia ambazo baba na mama waliachana au hawkuwa na maelewano ambayo yangelimjenga mtoto kuthamini familia...............
2) mara nyingi ngono ya malipo inakuwa ni tiketi ya kukwepa kazi zenye ujira mdogo na za mtulinga............
3) fedha ndiye mungu wao wa uongo na hutumikia matumbo yao tu..............
4) wamezoea kukataliwa na jamii na ngono ya malipo inakuwa ndiyo njia pekee ya kukubalika kwa jamii...............
kwa akina baba wako tayari kulipia ngono kwa sababu zifuatazo:-
1) malezi hafifu kama dada zao hao
2) wanaona hiyo ni nafasi ya kujifunza utaalamu wa kufanza ngono
3) huona ni tiba ya kujiliwaza baada ya yule wampendao kuwawekea kizingiti katika kujamiiana
4) huona ngono ya malipo kama ni tiba ya kero za kidunia.................therapeutic reliever
5) ni mwanya wa kujionyesha ya kuwa una uwezo wa kupata ukitakacho kwa ujira maalumu..............
na zipo nyingine nyingi................lakini kamwe siyo kwa ajili ya mahaba......................la hasha ni upweke tu ndiko chimbuko la haya yote............................
Kwa akina dada sababu ya kuuza uchi wao ni pamoja na...........................
1) malezi mabovu wakiwa wadogo.......wengi utakuta wanatoka kwenye familia ambazo baba na mama waliachana au hawkuwa na maelewano ambayo yangelimjenga mtoto kuthamini familia...............
2) mara nyingi ngono ya malipo inakuwa ni tiketi ya kukwepa kazi zenye ujira mdogo na za mtulinga............
3) fedha ndiye mungu wao wa uongo na hutumikia matumbo yao tu..............
4) wamezoea kukataliwa na jamii na ngono ya malipo inakuwa ndiyo njia pekee ya kukubalika kwa jamii...............
kwa akina baba wako tayari kulipia ngono kwa sababu zifuatazo:-
1) malezi hafifu kama dada zao hao
2) wanaona hiyo ni nafasi ya kujifunza utaalamu wa kufanza ngono
3) huona ni tiba ya kujiliwaza baada ya yule wampendao kuwawekea kizingiti katika kujamiiana
4) huona ngono ya malipo kama ni tiba ya kero za kidunia.................therapeutic reliever
5) ni mwanya wa kujionyesha ya kuwa una uwezo wa kupata ukitakacho kwa ujira maalumu..............
na zipo nyingine nyingi................lakini kamwe siyo kwa ajili ya mahaba......................la hasha ni upweke tu ndiko chimbuko la haya yote............................