UMENENA VYEMA KABISA...kama sijasahau FDLR inaundwa na wanajeshi walokuwa wanajeshi wa serikali ya Rais Marehemu Juvenal Habyarimana na Interahamwe walopanga na kutekeleza Mauaji ya kimbari dhidi ya WATUTSI ya 1994. Madai yao ni ya muda mrefu kanzia miaka ya 1950 yakiwa hasa ni
kufuta kabila la Watutsi katika nchi ya Rwanda---ni madai ambayo kimsingi hayawezi kutekelezeka kwa kukaa meza moja....madai yanayoweza kutekelezeka kwa kukaa meza moja ni kama yale kati ya M23 na serikali ya Congo,ADF na serikali ya uganda,FNL na serikali ya Burundi, nk...hawa madai yao ni ya kiutawala power sharing nk...yanatekelezeka na wanaweza kukaa meza moja na kuyamaliza kama ilivokuwa kwa CCM na CUF zanzibar.....lakini kwa hili la Rwanda kidogo napata ugumu jinsi ya kukaa meza moja wakati madai ni kama nilivoeleza hapo juu... soma hizi amri 10 za wahutu kama zilivotangazwa na kuandikwa na Kangura news wakati wa maandalizi ya mauaji ya kimbari ...........
Hutu Ten Commandments - Wikipedia, the free encyclopedia
TUDUMISHE amani