Why Paka Wengi wa Bar wana ma-hips ya kufa mtu!!!!!!!!!!!111

Naipendatz

JF-Expert Member
Jul 27, 2011
5,080
8,218
Ukienda bar nyingi za dar hukosi kuta pakas wengi sana especially zile bar za kichovu zinazouza bia below 1800! But bar za kishua or zinazouza bia above 2000 mara chache sana utakutana na paka! Je paka ni rafiki wa wachovu, watu wanaopenda vitu cheap or? Then Paka wengi wa bar huwa wanakuwa na hips za ukweli kupitiliza kiasi kwamba if upo tungi la kutosha waweza mix na mambo yetu yale!! Hizi hips zatoka wapi??? or michemsho???
 
Hahahaahahha....... wewe usije ukawa umemfungua paka kidirisha chake.
 
Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii! mwe mwe mwe mwe mweeeeeeeeeeeeeeeeeeee! Ngoja nikalale sasa maana huko uendako kuna kila dalili ya kesi ya mtu kufanya mapenzi na mnyama. hapa nilipo sina mbavu, mweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
 
kunywa safari laga,huku ukifurahia Jagwa,bila kusahau Chimbwanga na ule Mjani laga pembeni. Nalog off
 
Usishangae mapaka hayo hayo ndiyo yanayochinjwa na kuchanganywa katika michemsho. Hujiulizi kwa nini bei ya kilo ya nyama au kuku ndio ile ile karibu Dar yote, lakini kwenye bar za wachovu bei ni rahisi?
Shhhhhhhhhhhhhhh!!! Kula na usimwambie mtu!
 
Back
Top Bottom