Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,080
- 8,218
Ukienda bar nyingi za dar hukosi kuta pakas wengi sana especially zile bar za kichovu zinazouza bia below 1800! But bar za kishua or zinazouza bia above 2000 mara chache sana utakutana na paka! Je paka ni rafiki wa wachovu, watu wanaopenda vitu cheap or? Then Paka wengi wa bar huwa wanakuwa na hips za ukweli kupitiliza kiasi kwamba if upo tungi la kutosha waweza mix na mambo yetu yale!! Hizi hips zatoka wapi??? or michemsho???