why mimi?! Sioni raha ya kuoa

why mimi?! Sioni raha ya kuoa

Mostwanted boy

Senior Member
Joined
Aug 24, 2013
Posts
115
Reaction score
10
nashindwa kuelewa kama ninatatizo la nguvu za kiume au vipi? Nikiwaona mabinti wamevaa nusu uchi uume wangu husimama kiasi cha kuhisi maumivu makali sana!. Napokuwa kitandani na demu jamaa hasimami, akisimama nikivaa kondom analala! Muda mwingine nikiingiza analala ndani kwenye k! Tatizo nn? Muda mwingine najimwagia nikiwa bado kwenye romance! Je natumia muda mwingi sana kufanya romance au tatizo nn? Romance huwa natumia kama dk24. Msaada wenu jaman
 
nashindwa kuelewa kama ninatatizo la nguvu za kiume au vipi? Nikiwaona mabinti wamevaa nusu uchi uume wangu husimama kiasi cha kuhisi maumivu makali sana!. Napokuwa kitandani na demu jamaa hasimami, akisimama nikivaa kondom analala! Muda mwingine nikiingiza analala ndani kwenye k! Tatizo nn? Muda mwingine najimwagia nikiwa bado kwenye romance! Je natumia muda mwingi sana kufanya romance au tatizo nn? Romance huwa natumia kama dk24. Msaada wenu jaman

umeoa?!.
 
Hahahaaaaa daaah chapa ilale. Hiyo ya kulala ikiwa pangoni ni noma aiseee. Pole sana
 
Una jini mahaba linakukamua kabla hujafanya sex .... njoo nikuombee au nipe jina lako jioni ya leo niombe kwa ajili yako. Ila kama hujaoa weka mambo wazi kwani uzinzi hautakiwi kabisa na nikiomba hapo nitaomba pepo la uzinzi likutoke - ukatakaswe ndo ufanye maandalizi ya kuoa.
 
Wewe unatatizo Romance mimi huwa Nafanya Saa nzima mpaka na Nusu ila sasa wewe dakika 24 bado ndogo sana! Nakushauli kitu kimoja Hii ni dawa ya Bure kwako, chukua mbegu za Tikiti Maji, na Mbegu za Mapapai, Saga uchanganye na asali Utakuwa unalamba mara Tatu kwa Siku ndani ya Siku tatu Utakung'uta Fimbo mpaka akuhame mkeo ukishindwa npm nikupe nyingine.
 
jambo jingine nikimkumbatia demu naweza nikajimwagia zaidi ya mara moja kwa vipindi tofauti. Mathalan naweza kumkumbatia nikamwaga, nikakaa kama dk20 ivi nikamkumbatia tena nikamwaga lkn inshu nikitaka kuingiza inasleep
 
Hakikisha ukiwa unazini mzinifu mwenzio atakua anavaa nusu uchi ili uwe kwenye mood!
 
Wewe unatatizo Romance mimi huwa Nafanya Saa nzima mpaka na Nusu ila sasa wewe dakika 24 bado ndogo sana! Nakushauli kitu kimoja Hii ni dawa ya Bure kwako, chukua mbegu za Tikiti Maji, na Mbegu za Mapapai, Saga uchanganye na asali Utakuwa unalamba mara Tatu kwa Siku ndani ya Siku tatu Utakung'uta Fimbo mpaka akuhame mkeo ukishindwa npm nikupe nyingine.

asante sana kaka maana imenondolea kujiamin
 
jambo jingine nikimkumbatia demu naweza nikajimwagia zaidi ya mara moja kwa vipindi tofauti. Mathalan naweza kumkumbatia nikamwaga, nikakaa kama dk20 ivi nikamkumbatia tena nikamwaga lkn inshu nikitaka kuingiza inasleep
Muulize vizuri Inawezekana ana Majini!
 
nashindwa kuelewa kama ninatatizo la nguvu za kiume au vipi? Nikiwaona mabinti wamevaa nusu uchi uume wangu husimama kiasi cha kuhisi maumivu makali sana!. Napokuwa kitandani na demu jamaa hasimami, akisimama nikivaa kondom analala! Muda mwingine nikiingiza analala ndani kwenye k! Tatizo nn? Muda mwingine najimwagia nikiwa bado kwenye romance! Je natumia muda mwingi sana kufanya romance au tatizo nn? Romance huwa natumia kama dk24. Msaada wenu jaman
Hatari
 
Je upo overweight? Unafanya mazoezi? Vyakula vyako ni vipi? Ukijibu haya naweza kujua nature ya tatizo lako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom