piga mwanaume suprizi la nguvu mamake mwenyewe hajawai kupewa ila sio fair bana wema unafadhili mbuzi? Hiyo hela angewapa ndugu zake bwana ,wanaume shukrani yao kupasuka moyo
alishawai kukupa?
ela ametafta mwenyewe sitaki mpangia matumizi lakini masikini huyu dada angewekeza pia maana siku akichoka zikakata atakumbuka bata sana na aliowapa bata watakuwa pembeni wakimcheka.....